Mmeomba kibali cha hayo maandamano maana isije ikawa intellijensia tena!
Usiwe na fikra mgando ndugu yangu unafikir huko Tunisia na Egypt walianzia from no where. Matatizo wanayoyapa hasa hali ya uchumi kuwa mgum ndo kilichosababisha yote hayo je kwetu tanzania matatizo kama hayo hayapoKalagha baho............. nakuhakikishia kama agenda ndiyo hizo hupati mtu ngo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Hata huko misri na Tunisia hawajaweka agenda za maswala ya rushwa wala uchama. Wewe ukishaindoa CCM ndio katiba itaandikwa na watanzania au itaandikwa na CHADEMA, NCCR etc? Hujaona CUF waliandika yakwao huku wakisistiza kuwa ndiyo wananchi wanayoitaka? Ukitaka kuwaweka wananchi wote pamoja sema tu "hali ngumu ya maisha" hii ndiyo best agenda. Ninachoweza kusema hapa kwetu maadili hakuna kabisa na hivyo haa ishuke katiba au kiongozi kutoka mbinguni kama hatuta badilika tutaumia tu.
Mwisho natoa mwito kwa wananchi kutokubaliana na watu wachache ambao maslahi yao ya ungozi hasa CHADEMA wanaotaka kuwa viongozi kwa namna yoyote ile kama mbowe alivyosema anaandaa bajeti rasmi ya kuiadhabisha CCM bila kujali watakaokuwa wanateseka ni kina nani, watakaokufa ni kina nani. Namshangaa mtoa mtoa mada kusema Mauaji ya Arusha serikali inaficha ukweli lakini hasemi ukweli upi kwamba Dr. Slaa na Ndesamburo waliwahimiza wananchi kwenda kuwakomboa viongozi wao walioshikiliwa katika kituo cha kati?? Eti mbona siku ya maziko hakukua na fujo wakati polisi hawakuwepo? Ungejaribu kuafanya fujo uone cha mtemakuni, kwa taarifa yako tulikuwepo kiraia la kini tukiwa kamili na ingekua za moto tu!!!! pili siku ya mazishi kumbuka Mh. Lema wa Mh. Mbowe kila mara walikua wanawahimiza vijana kutulia ili waiabishe serikali ya CCM ikiwa na maana kama wangefanya hivyo siku ya tukia la vifo kusingetokea kilichotokea. Agenda ya CHADEMA tushaijua na wale viongozi wote wasiyowastaarabu wanaotumia mabavu kuliko akili na utashi na kuangalia maslahi ya wengi watakiona pamoja na wewe unayetaka kuleta uhuni hapa nchini.
Kumbuka hii nchi siyo ya CCM au CHADEMA ni ya watanzania wote na pia si nchi ya vyama viwili ni nchi ya vyama vingi. What is going on in Tunisa, Egypt and elsewhere will never happen in Tanzania nakuhakikishia.
Usiwe na fikra mgando ndugu yangu unafikir huko Tunisia na Egypt walianzia from no where. Matatizo wanayoyapa hasa hali ya uchumi kuwa mgum ndo kilichosababisha yote hayo je kwetu tanzania matatizo kama hayo hayapo
Ebu angalia bei za mafuta zilivyo juu kwa sasa ukilinganisha na mwaka 2005 kabla Kikwete hajaingia madarakani
Ebu angalia bei za umeme
Ebu angalia bei ya maji
Ebu angalia bei za usafiri
Ebu angalia bei gesi
Ebu angalia mfumuko wa bei ya vyakula
Ebu angalia shilingi yetu inavyopolomoka dhidi ya dola
Ebu angalia tatizo la ajira Tz
Ebu angalia migomo inavyolindima Tz
Kutokana na matatizo hapo juu ww unafikiri uelewa wa WaTz uko vile vile ukilinganisha na miaka ya nyuma acha mawazo mgando nakuambia ipo siku patachimbika hapa patakua padogo ebu tukae chini tujadiri vizuri mstakabari wa nchi yetu sio kuropoka tu.
Fikra zako ni duni sana ipo siku haya unayosasema hayawezekani yatawezekana tu.