Mwandamane kudai umemeSa ulitaka 2fanyaje?
Wakati wanafunzi wa udsm wakiendelea na mitihani yao,jana usiku wamezua mpya baada ya umeme kukatika.baadhi ya wanafunzi waliamua kubeba desa zao na kwenda kwenye taa za barabani kupiga shule ili kujiandaa na mitihani ya leo.source{ my eyes}
Wakati wanafunzi wa udsm wakiendelea na mitihani yao,jana usiku wamezua mpya baada ya umeme kukatika.baadhi ya wanafunzi waliamua kubeba desa zao na kwenda kwenye taa za barabani kupiga shule ili kujiandaa na mitihani ya leo.source{ my eyes}
kwahiyo? hii nayo ni habari muhimu kwa mtazamo wako eti? kuwa makini dogo!!Wakati wanafunzi wa udsm wakiendelea na mitihani yao,jana usiku wamezua mpya baada ya umeme kukatika.baadhi ya wanafunzi waliamua kubeba desa zao na kwenda kwenye taa za barabani kupiga shule ili kujiandaa na mitihani ya leo.source{ my eyes}
huyu alikosa k2 cha kupost ndo akaamua kukurupuka 2,sa hata 2kipgia msuli barabaran ye inamhusu nin kama sio umbea!kwahiyo? hii nayo ni habari muhimu kwa mtazamo wako eti? kuwa makini dogo!!
he is.you are not serious!