Mgomo huu unachochewa na Chadema. Juzijuzi wamefungua tawi lao kwa mbwembwe pale mjini.
Wangefuata malezi ya CCM wasingegoma, kama ambavyo viongozi makini wa sasa Serikalini hawakugoma walipokuwa UDSM.
Ni lini Chadema watafanya jambo la kujenga kwa vijana wetu? acheni kuwapotosha, bado wadogo.
"Wanafunzi UDOM wapigwa mabomu ya machozi, walitaka kwenda ofisini kwa waziri mkuu"
Breaking news-Radio ONE ya saa tano.
Bangi kali umevuta..!!! FFU chapa viboko kwenye makalio yao...tegua viuno hao wanavunja amani sisi tunataka kusoma, piga virungu haooooooooMgomo huu unachochewa na Chadema. Juzijuzi wamefungua tawi lao kwa mbwembwe pale mjini.
Wangefuata malezi ya CCM wasingegoma, kama ambavyo viongozi makini wa sasa Serikalini hawakugoma walipokuwa UDSM.
Ni lini Chadema watafanya jambo la kujenga kwa vijana wetu? acheni kuwapotosha, bado wadogo.
Wala si utani, hizi ni PURE BANGE, tena zina mix na MARIJUANA
wewe ndo mwanga...tena utoe uchuro hapa, we are not discussing parties!!ni kichapo udom...sawa!Acha kashfa, ongelea mada.
Au hiyo ndo asili ya chama chenu/kampuni yenu cdm?
Kwani chadema ndio wametembeza kichapo?Acha kashfa, ongelea mada.
Au hiyo ndo asili ya chama chenu/kampuni yenu cdm?
Acha kashfa, ongelea mada.
Au hiyo ndo asili ya chama chenu/kampuni yenu cdm?
hata mimi hili jambo lilinishangaza sanaWanaandamana kitu gani wanafki tu hao! Pesa wanazo nyingi sana, wajilipie ada! si walimchangie mkwere-wanashindwaje kuchangia elimu yao?!!
Tuheshimiane. Mdomo wako huwa hauna hata neno moja zuri?
Mungu huwa haumbi midomo kama hiyo.