Kwan vyuo vimefunguliwa?
Tatizo liko wapi hapo mkuu,huku dodoma wadada wa chuo cha Mipango na Madini ni kawaida yao mihogo na chai kila siku,yaani mihogo inaliwa kuliko msosi mwingine ule kwa asubuhi ,Jioni sijawahi onaKuna mama mmoja anauza mihogo ya kukaanga hapa CBE Dar nje ikifika saa 12 hadi moja moja flani hivi jioni.
Amekuwa msaada mkubwa sana kwa kweli hasa kwa wadada warembo wa CBE, utakuta sister du mkali anachukua vipande vyake vitatu anakaa pembeni anagonga na fursana yake moja anatulia.
Subirini wakija kwenu huko wanataka kuku na misoseji, huku wanagonga tu mihogo, nashauri kama una mtu wako CBE jioni we mtembelee tu jioni kati ya SAA 12 na SAA moja nje geti la pili kama unatoka mahakama ya Kisutu utaona.
Kuna Docta fulani mwanasiasa alishakiri bila kumungunya maneno kwamba alikua kutwa akishindia MIHOGO..Sasa kipi cha ajabu kwa hao Warembo?!!kwani hiyo mihogo anauziwa nani??
Hata CBE ya dom yupo mama mmoja umbali wa kama mita 300 katka kota za national housing anapikaga mihogo,basi hapo ndo kimbilio la raia ,ila masister duu wanakujaga na mabakuli wanawekewa wanaenda kulia mageton kwao,,ila kwa wale wagumu ndo wanaliaga palepale,,,Kuna mama mmoja anauza mihogo ya kukaanga hapa CBE Dar nje ikifika saa 12 hadi moja moja flani hivi jioni.
Amekuwa msaada mkubwa sana kwa kweli hasa kwa wadada warembo wa CBE, utakuta sister du mkali anachukua vipande vyake vitatu anakaa pembeni anagonga na fursana yake moja anatulia.
Subirini wakija kwenu huko wanataka kuku na misoseji, huku wanagonga tu mihogo, nashauri kama una mtu wako CBE jioni we mtembelee tu jioni kati ya SAA 12 na SAA moja nje geti la pili kama unatoka mahakama ya Kisutu utaona.
Mihogo ni mizizi ya kisamvu, chakula rasmi cha binadamu ni kile kinatoka juu ya mmea mfano nafaka zote.mihogo ni chakula au sio chakula?
Kuna mama mmoja anauza mihogo ya kukaanga hapa CBE Dar nje ikifika saa 12 hadi moja moja flani hivi jioni.
Amekuwa msaada mkubwa sana kwa kweli hasa kwa wadada warembo wa CBE, utakuta sister du mkali anachukua vipande vyake vitatu anakaa pembeni anagonga na fursana yake moja anatulia.
Subirini wakija kwenu huko wanataka kuku na misoseji, huku wanagonga tu mihogo, nashauri kama una mtu wako CBE jioni we mtembelee tu jioni kati ya SAA 12 na SAA moja nje geti la pili kama unatoka mahakama ya Kisutu utaona.