Wanafunzi CBE Dar wagombea chips dume au mihogo

wakusoma

JF-Expert Member
Feb 25, 2008
1,085
1,049
Kuna mama mmoja anauza mihogo ya kukaanga hapa CBE Dar nje ikifika saa 12 hadi moja moja flani hivi jioni.

Amekuwa msaada mkubwa sana kwa kweli hasa kwa wadada warembo wa CBE, utakuta sister du mkali anachukua vipande vyake vitatu anakaa pembeni anagonga na fursana yake moja anatulia.

Subirini wakija kwenu huko wanataka kuku na misoseji, huku wanagonga tu mihogo, nashauri kama una mtu wako CBE jioni we mtembelee tu jioni kati ya SAA 12 na SAA moja nje geti la pili kama unatoka mahakama ya Kisutu utaona.
 
Nyie watu kalaleni mnazurura nini huku kama hamna kwenu! mwani mmeambiwa jf ndiyo kwenu?
 
Kweli mkuu pale karbu na ATM ya CRDB kweli kuna maza mmoja anauza mihogo kuna warembo kibao wananunua na mabrother men
 
Hahah swadakta...karibu na ATM ya CRDB..mkuu mie ofc ni pale maktaba ya taifa..so nawaona sana jirani zangu hapo...dem kashonea weaving la $200 unakuta na kifursana cha jero na vipande vyake vi 2 vya cassava... Anagonga.

Subiri aje kwako..anataka Savana na kunkuuu
 
Hahah swadakta...karibu na ATM ya CRDB..mkuu mie ofc ni pale maktaba ya taifa..so nawaona sana jirani zangu hapo...dem kashonea weaving la $200 unakuta na kifursana cha jero na vipande vyake vi 2 vya cassava... Anagonga.

Subiri aje kwako..anataka Savana na kunkuuu
Hahahahahaa
 
Kuna mama mmoja anauza mihogo ya kukaanga hapa CBE dar nje ikifika saa 12 hadi moja moja flan HV jioni.

Amekuwa msaada mkubwa sana kwa kweli hasa kwa wadada warembo wa CBE.utakuta sister du mkalii anachukua vipande vyake vitatu anakaa pembeni anagonga na fursana yake moja anatulia.

Subirini wakija kwenu huko wanataka kuku na misoseji...huku wanagonga tu mihogo.nashauri kama una MTU wako CBE jioni we mtembelee tu jioni kati ya SAA 12 na SAA moja nje geti la pili kama unatoka mahakama ya kisutu..utaona
Sio kila mtu anatesoma CBE ni mtoto wa don. Na watoto wa masikini wapo kwani ndicho chakula kilicho tulea Aisee. Tuache na maisha yetu
 
Kwan vyuo vimefunguliwa?
Kama vimefungwa..au vimefunguliwa sisi sio hoja yetu.wewe nenda pale CBE Leo jioni nje karibu na ATM ya crdb pita around saa moja moja utaona kila MTU ana kikoka cha jero na vipande vitatu vitatu hasa wale wanawake warembo wenu wa mtaani.

Wanagonga na kushushia..ama inawezakana chief upo tandahimba kwenu so hata CBE dar hujawahi kuiona na wala hutegemei kuja kuishi dar pole...

But hiyo ndiyo hali halisi ya CBE.
 
Kama vimefungwa..au vimefunguliwa sisi sio hoja yetu.wewe nenda pale CBE Leo jioni nje karibu na ATM ya crdb pita around saa moja moja utaona kila MTU ana kikoka cha jero na vipande vitatu vitatu hasa wale wanawake warembo wenu wa mtaani.

Wanagonga na kushushia..ama inawezakana chief upo tandahimba kwenu so hata CBE dar hujawahi kuiona na wala hutegemei kuja kuishi dar pole...

But hiyo ndiyo hali halisi ya CBE.
mihogo ni chakula au sio chakula?
 
Kuna mama mmoja anauza mihogo ya kukaanga hapa CBE dar nje ikifika saa 12 hadi moja moja flan HV jioni.

Wapewe nishani kwa kupenda vyakula vyetu tunavyolima wenyewe tofauti na waswahili koko ambao kutwa utawakuta wananunua vyakula na wanasukuma vitoroli vilivyo jaa mavyakula ya wazungu kwenye masupermarket.

Hongereni wanafunzi wa CBE
 
Mihogo mbona iko vizuri tu, au ni dhambi kwa wadada wazuri kula mihogo?
 
Back
Top Bottom