mboni hapa sio mahali pake ungeipeleka kule elimu ingefaa kweli..
Tunatumia muda mwingi kufanya mambo yasiyohusiana kabisa na elimu,tukifeli tunashirikiana na wazazi kuishutumu serikali......!
sasa kwanin unafanya mambo yasohusiana na elimu? Bilashaka utakuwa hujitambui ila kwa mm huwa simix mambo kizembe...