Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
NN ukiondoka(Mungu apushia mbali) nitaomboleza mwaka mzima
Wasema kweli queenkami?
NN ukiondoka(Mungu apushia mbali) nitaomboleza mwaka mzima
r.i.p chetuntu,queen umeongea la maana sana.kuna haja ya kutafuta mtu humu anijue kiukweli
Wasema kweli queenkami?
Lol cheusie??...kama hana mke je?queenkami umenigusa na huu ujumbe,yaan nimejikuta natafakari mambo mengi,siku mm cheusie roho itakapoacha mwili sijui nan atakuja jf kuwajulisha,ila roho yangu haitatulia nife bila kuambiwa R.I.P CHEUSIE na wana jf.Lazima nikifa wana jf waniambie R.I.P hivyo jamani nan anataka kukutana na cheusie mlimani city this weekend??sharti atakayekuja kama ni mkaka aje na mkewe?
hellow wakuu.Member kama mim queenkami ambaye sijuani na yeyote wa JF nje ya JF ikitokea nikafariki hamtakaa mfahamu sababu sina mtu katika maisha yangu halisi anayejua kuwa mm ni member huku hivyo aje awajulishe kuwa queenkami is no more.Hii imenifanya nifikirie kuwa labda baadhi ya wenzetu ambao tulikua nao humu siku zote kisha wakapotea moja kwa moja labda wameshatangulia mbele za haki.Pamoja na kuwa wengine wanaweza kuwa wameamua kuwa wasomaji au kubadilisha ID lakini nina amini wapo wenzetu waliofariki bila sisi kufahamu.Ni Chetuntu tu ndiye tuliweza kufahamishwa kuwa member mwenzetu hatunaye tena.Na dedicate wimbo huu kwa Chetuntu na wengine wote waliotutangulia.R.I.P.
Mie naomba tufahamiane.Siku nikifa kwa herini wana jamii wenzangu maana ni kweli hakuna anayejua ID yangu ili kutangaza kifo.
Dah! Queen kami..... Umewaza nini dear? Ujumbe wako umenigusa na kunifanya nimkumbuke ODM (for ndie alie tutaarifu msiba wa Chetundu).
Hapa JF tunaweza tusijuane but tumejenga bonds na some of the members.... Uraiani twaonana na watu wengi na tumejenga mahusiano mpaka (atleast to me) napenda the anonymity ya hapa JF, wawasiliana na watu vizuri kabisa na you can feel wawajua hali you don't know them.... sometimes it makes it so perfect sababu inakua kama "Alice's wonder land" .... What I am saying hapa ni kua in reality hatujuani... but naamini member ambae nawasiliana nae kwa karibu aweza niuma kama vile namjua.... Na kumbuka na wenzetu wengine wana bahati na wajuana....
Nimependa Thread yako.... Naungana na wewe.... "Wa innalilaah wa innallilah rajun" Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema awarehemu wale woote walotangulia mbele ya haki. Ameen.
Wasema kweli queenkami?
Mi nikikaribia kuondoka ntawajulisha.
RIP kwa waliotangulia.
Hii Thread sijaipenda, sababu ya kutokuipenda imenikumbusha member wa JF aliyefariki 17 November 2011lakini ID yake ya hapa JF sikuwahi kuijua alikuwa anafanya siri. Jina lake la Ukweli ni SALIM HASSAN, Marehemu alianguka ghafla wakati anafanya mazoezi ya kukimbia asubuhi, aliitiwa Ambulance na kumpeleka Steve Biko Hospital Pretoria, Marehemu alikuwa kwenye COMA kwa week, baada ya week alifariki na mwili wa marehemu ulisafirishwa nyumbani Tanzania na kuzikwa kwao Zanzibar. Marehemu alikuwa Mfanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania nchini South Africa as Driver. Marehemu aliacha Mke na Mtoto mmoja wa kike nchini South Africa, RIP.
View attachment 44968
View attachment 44968
View attachment 44969
Nipo tayari kukujua just in case. What say you?
@ Mzalendo80 sasa ulijuaje kama alikuwa memba wa jf na huku hujawahi kuijua ID yake?
By the way pole kwa kukumbushwa machungu. Yote ni kazi ya Mungu.