Wanachama wa chadema kati yao wakiwemo wenyeviti na makatibu 918 wa vitongoji 6 wilayani Meatu, wametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na ccm, wengi wanasema wamechoshwa na siasa za kikabila za cdm na kuamua kurejea ccm kusipo na ukabila wala udini.
Source:katibu wa ccm wilaya bW. Abdilah Finangu.
Hivi huku kuhamahama maana yake nini wandugu?
Source:katibu wa ccm wilaya bW. Abdilah Finangu.
Hivi huku kuhamahama maana yake nini wandugu?