Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,995
- 32,327
Enyi member wa Jf,nilikuwa kimya mda mrefu nikisubiri heka heka za KTMA ziishe,sasa nimekuja toa dukuduku langu.
Mmebandika picha yangu na mdogo wangu na mama'angu stejini (Hadija Kopa) ktk Jf Photo, nimeona michango ya baadhi yenu,mmetuponda sana,au nguo fupi niliyokuwa nimevaa jamani?
Roho iliniuma sana wana Jf,si vizuri hvyo,au huu unene wangu?
Haya poa.
Mmebandika picha yangu na mdogo wangu na mama'angu stejini (Hadija Kopa) ktk Jf Photo, nimeona michango ya baadhi yenu,mmetuponda sana,au nguo fupi niliyokuwa nimevaa jamani?
Roho iliniuma sana wana Jf,si vizuri hvyo,au huu unene wangu?
Haya poa.