20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 7,970
- 6,761
Hebu soma alicho post mdau hapa, then utagundua aliye leta ishu zingine ni wewe au yeye.....Mkuu nimesema najua ninachokifanya that is all sasa amenisaidia nini apo nimetaka Unlock code yeye analeta inshu zingine hio nini sasa nimesha washukuru kwa michango yao na nimewaambia Mpaka nineanika imei hapa ina maana sio mbumbu najua ninachofanya
sawa mkuu, ila kwa haraka aroot simu then adownload mtk engineering mode then afungue hiyo ap aende sehem ya telephony scroll down kuna option ya ku unlock (sijaweka process zote atajiongeza mwenyewe)