KANCHI
JF-Expert Member
- Sep 3, 2011
- 1,533
- 230
Nimepata kazi katika chuo kikuu kimoja kama tutorial assistant na pia bado nasubiria ajira za serikali (ualimu) naona zipo karibu pia.Sasa nipo njia panda niende kupiga mzigo katika Chuo hichi au nisubirie za serikali nadhani mnafahamu faida za kuwa serikalini.
Ahsanteni sana!
Ahsanteni sana!