Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,833
Nina ujauzito wa miezi saba na nusu sasa.
Leo nikiwa saluni kutengeneza nywele , kuna dada kaja na mpya ananiambia eti kitovu ni hatari sana.
Kikiwa kinakatikia kikimdondokea mtoto anaweza kuwa tasa na kama mtoto wa kiume anakuwa *******.
Pia nimeambiwa eti mama mkwe wangu asikione kabisa sehemu nitakakokifukia.
Kwa bahati mbaya sana yule dada akaondoka akiwa hajamaliza kunipa shule.
Ndugu zangu wana JF naombeni mnifunde.
Leo nikiwa saluni kutengeneza nywele , kuna dada kaja na mpya ananiambia eti kitovu ni hatari sana.
Kikiwa kinakatikia kikimdondokea mtoto anaweza kuwa tasa na kama mtoto wa kiume anakuwa *******.
Pia nimeambiwa eti mama mkwe wangu asikione kabisa sehemu nitakakokifukia.
Kwa bahati mbaya sana yule dada akaondoka akiwa hajamaliza kunipa shule.
Ndugu zangu wana JF naombeni mnifunde.