Kumekuwa na tetesi nyingi juu ya hujuma zinazofanywa dhidi ya chadema ili kuidhoofisha!ni dhahiri kwamba tetesi hz huwezi kuzikwepesha na ccm ambao ni wazi kbs hawapendi mafanikio inayoyapata chdm kuendelea kushika kasi!
Kama vyama vngn vy upinzani vilivyoangamizwa,ni waz kuwa wanataka ku2mia mbinu mbalimbali kuhakikisha chdm inakufa!kw vivite vile ccm hawawezi kukaa kimya huku ikizidi kumomonyoka.mojawapo wa yanayofanywa ni kama
1.kupenyeza watu mashuhuri ndani ya chama ambao wanaweza kuaminika na chama na kupewa nyadhifa kisha kurudi ccm
2.kutengeneza kadi bandia za chadema na kuzisambaza kwa baadghi ya wana ccm kisha kuzirejesha ili chama kionekane kukimbiwa(mf. Hapa arusha maeneo ya kimandolu kuna kadi zinagawiwa kwa wana ccm na viongozi wa juu wa ccm)
3.kubambikizia na kutengeneza kashfa mbalimbali kwa viongozi wa chdm
4.kununua mahakimu wanaosimamia kesi mbalimbali za chdm ili kupindisha haki na kukidhoofisha chama
NATOA RAI KWA UONGOZI WA JUU WA CHADEMA KULIFUATILIA HL NA KULITOLEA MAELEZO ILI KUUA MBINU HIZI CHAFU ZA CCM NA KUIMARISHA IMANI KWA WANACHDM.
Kazi kwenu dr slaa na viongozi wdngine wa chdm.wana jf tutoe ushauri kwa uongozi wa chdm il kukinusuru chama.
Kama vyama vngn vy upinzani vilivyoangamizwa,ni waz kuwa wanataka ku2mia mbinu mbalimbali kuhakikisha chdm inakufa!kw vivite vile ccm hawawezi kukaa kimya huku ikizidi kumomonyoka.mojawapo wa yanayofanywa ni kama
1.kupenyeza watu mashuhuri ndani ya chama ambao wanaweza kuaminika na chama na kupewa nyadhifa kisha kurudi ccm
2.kutengeneza kadi bandia za chadema na kuzisambaza kwa baadghi ya wana ccm kisha kuzirejesha ili chama kionekane kukimbiwa(mf. Hapa arusha maeneo ya kimandolu kuna kadi zinagawiwa kwa wana ccm na viongozi wa juu wa ccm)
3.kubambikizia na kutengeneza kashfa mbalimbali kwa viongozi wa chdm
4.kununua mahakimu wanaosimamia kesi mbalimbali za chdm ili kupindisha haki na kukidhoofisha chama
NATOA RAI KWA UONGOZI WA JUU WA CHADEMA KULIFUATILIA HL NA KULITOLEA MAELEZO ILI KUUA MBINU HIZI CHAFU ZA CCM NA KUIMARISHA IMANI KWA WANACHDM.
Kazi kwenu dr slaa na viongozi wdngine wa chdm.wana jf tutoe ushauri kwa uongozi wa chdm il kukinusuru chama.