CHADEMA na CCM zote hakuna kitu. Uchaguzi wa mwaka huu 2024 na 2025 watu watachagua nini?

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,975
48,843
Niseme tu ukweli toka amefariki Rais Magufuli nchi imepoa kisiasa hakuna hoja kabisa.

Chadema chini ya Mbowe chama kimejifia kabisa. Hakuna sera wala mikakati ya kuwasaidia Watanzania nao wengi wao mamegeuka kama mafisadi ya nchi hii.

Wamewekeza kwenye biashara wanavuna Mbowe anaomba misamaha ya kodi kwa Rais kama ilivyo kwa mafisadi yote ya CCM Shame!!

Viongozi wengi wa upinzani sasa wanakula bia na watu waliosababisha makovu kwa wafuasi wao mwaka 2015-2021.

Mawaziri wa Rais Samia wanashindana kuchota pesa za Umma na kutakatisha kwa kufanya uwekezaji uchwara ambao hauna ajirà zenye tija kwa jamii tofauti na uko nyuma kipindi cha Kikwete mtu akijenga shule amejenga shule kweli na walimu watakuwa private lakini watalipwa kweli kweli

Zichunguze biashara za shule za sasa, angalia sheli za Leo angalia makapuni ya kubeti ya sasa mishahara wanayolipa wafanyakazi yaani Mtu was degree analipwa 150000.

Bahati mbaya mpaka wapinzani wameingia kwenye mtego wa CCM wa kusulubu wafanyakazi was sector binafsi refer kesi ya waandishi wa magazeti ya Mbowe.

Viwanda ndiyo basi kabisa wachina wanatesa wazawa watu wanakatwa vidole na machine viwandani kwa mshahara wa elfu 7 kwa siku.

Wahitimu hawana pa kusemea wapo wapo tu kwa sababu hata wanaotakiwa kuwasemea na wao wameungana na majizi wenzao ccm na chadema wamekuwa kama mtu na mdogo wake hakuna sehemu ya kujitetea.

Jiulize kijana anayeishi Chanika anafanya kazi kariakoo kila siku halafu analipwa elfu 7 nauli ya chanika kariakoo kwenda na kurudi no 3200 anabaki na 3800 chakula 3000 anabaki na 800 atawezaje kulipa kodi? Kununua maji na kulipa bili za umeme?

Taifa linaangamia sasa uchaguzi wa 2025 nani ana Sera ?

Bora utawala wa Magufuli tulijua misimamo yake akisema hapa ni hivi ndio hivyo hivyo!!

Jamani sioni Sera kwenye uchaguzi wa 2025 sio Samia wala Mbowe, Ccm imeoza na Chadema imejifia kabisa hakuna anayewatetea watanzania.

Kama ni uchaguzi bora ccm ibadilishe mgombea maana wakienda hawa kutakuwa hakuna option.

Rais Samia amechoka ila upinzani umechoka zaidi sio Mbowe sio Zitto wote wamekuwa matapeli tu ni muda wao sasa kusitaafu siasa.!!
 
Magufuli aliua upinzani kwa kazi kubwa aliyoifanya. 2025 tutampigia kura mgombea wa CCM, hata kama ni Hangaya.
 
Chadema itawashangaza wengi sana 2023 na 2025 naiyona ikiwa na wabunge wasiopungua 50 mwakan mjengon
 
Mkuu,

Hali mtaani ni ngumu sana!

Mbowe huwa anapiga kelele maslahi yake yakiguswa tu
 
Niseme tu ukweli toka amefariki Rais Magufuli nchi imepoa kisiasa hakuna hoja kabisa.

Chadema chini ya Mbowe chama kimejifia kabisa. Hakuna sera wala mikakati ya kuwasaidia Watanzania nao wengi wao mamegeuka kama mafisadi ya nchi hii.

Wamewekeza kwenye biashara wanavuna Mbowe anaomba misamaha ya kodi kwa Rais kama ilivyo kwa mafisadi yote ya CCM Shame!!

Viongozi wengi wa upinzani sasa wanakula bia na watu waliosababisha makovu kwa wafuasi wao mwaka 2015-2021.

Mawaziri wa Rais Samia wanashindana kuchota pesa za Umma na kutakatisha kwa kufanya uwekezaji uchwara ambao hauna ajirà zenye tija kwa jamii tofauti na uko nyuma kipindi cha Kikwete mtu akijenga shule amejenga shule kweli na walimu watakuwa private lakini watalipwa kweli kweli

Zichunguze biashara za shule za sasa, angalia sheli za Leo angalia makapuni ya kubeti ya sasa mishahara wanayolipa wafanyakazi yaani Mtu was degree analipwa 150000.

Bahati mbaya mpaka wapinzani wameingia kwenye mtego wa CCM wa kusulubu wafanyakazi was sector binafsi refer kesi ya waandishi wa magazeti ya Mbowe.

Viwanda ndiyo basi kabisa wachina wanatesa wazawa watu wanakatwa vidole na machine viwandani kwa mshahara wa elfu 7 kwa siku.

Wahitimu hawana pa kusemea wapo wapo tu kwa sababu hata wanaotakiwa kuwasemea na wao wameungana na majizi wenzao ccm na chadema wamekuwa kama mtu na mdogo wake hakuna sehemu ya kujitetea.

Jiulize kijana anayeishi Chanika anafanya kazi kariakoo kila siku halafu analipwa elfu 7 nauli ya chanika kariakoo kwenda na kurudi no 3200 anabaki na 3800 chakula 3000 anabaki na 800 atawezaje kulipa kodi? Kununua maji na kulipa bili za umeme?

Taifa linaangamia sasa uchaguzi wa 2025 nani ana Sera ?

Bora utawala wa Magufuli tulijua misimamo yake akisema hapa ni hivi ndio hivyo hivyo!!

Jamani sioni Sera kwenye uchaguzi wa 2025 sio Samia wala Mbowe, Ccm imeoza na Chadema imejifia kabisa hakuna anayewatetea watanzania.

Kama ni uchaguzi bora ccm ibadilishe mgombea maana wakienda hawa kutakuwa hakuna option.

Rais Samia amechoka ila upinzani umechoka zaidi sio Mbowe sio Zitto wote wamekuwa matapeli tu ni muda wao sasa kusitaafu siasa.!!

Akitajwa mwamba negatively makamanda uchwara hupita juu kwa juu wakijisemea:

"hiiiiiiii iiii !"

imhotep, JokaKuu, Elli, Allen Kilewella na wale wengine.

Kukosoana hujenga!
 
Niseme tu ukweli toka amefariki Rais Magufuli nchi imepoa kisiasa hakuna hoja kabisa.

Chadema chini ya Mbowe chama kimejifia kabisa. Hakuna sera wala mikakati ya kuwasaidia Watanzania nao wengi wao mamegeuka kama mafisadi ya nchi hii.

Wamewekeza kwenye biashara wanavuna Mbowe anaomba misamaha ya kodi kwa Rais kama ilivyo kwa mafisadi yote ya CCM Shame!!

Viongozi wengi wa upinzani sasa wanakula bia na watu waliosababisha makovu kwa wafuasi wao mwaka 2015-2021.

Mawaziri wa Rais Samia wanashindana kuchota pesa za Umma na kutakatisha kwa kufanya uwekezaji uchwara ambao hauna ajirà zenye tija kwa jamii tofauti na uko nyuma kipindi cha Kikwete mtu akijenga shule amejenga shule kweli na walimu watakuwa private lakini watalipwa kweli kweli

Zichunguze biashara za shule za sasa, angalia sheli za Leo angalia makapuni ya kubeti ya sasa mishahara wanayolipa wafanyakazi yaani Mtu was degree analipwa 150000.

Bahati mbaya mpaka wapinzani wameingia kwenye mtego wa CCM wa kusulubu wafanyakazi was sector binafsi refer kesi ya waandishi wa magazeti ya Mbowe.

Viwanda ndiyo basi kabisa wachina wanatesa wazawa watu wanakatwa vidole na machine viwandani kwa mshahara wa elfu 7 kwa siku.

Wahitimu hawana pa kusemea wapo wapo tu kwa sababu hata wanaotakiwa kuwasemea na wao wameungana na majizi wenzao ccm na chadema wamekuwa kama mtu na mdogo wake hakuna sehemu ya kujitetea.

Jiulize kijana anayeishi Chanika anafanya kazi kariakoo kila siku halafu analipwa elfu 7 nauli ya chanika kariakoo kwenda na kurudi no 3200 anabaki na 3800 chakula 3000 anabaki na 800 atawezaje kulipa kodi? Kununua maji na kulipa bili za umeme?

Taifa linaangamia sasa uchaguzi wa 2025 nani ana Sera ?

Bora utawala wa Magufuli tulijua misimamo yake akisema hapa ni hivi ndio hivyo hivyo!!

Jamani sioni Sera kwenye uchaguzi wa 2025 sio Samia wala Mbowe, Ccm imeoza na Chadema imejifia kabisa hakuna anayewatetea watanzania.

Kama ni uchaguzi bora ccm ibadilishe mgombea maana wakienda hawa kutakuwa hakuna option.

Rais Samia amechoka ila upinzani umechoka zaidi sio Mbowe sio Zitto wote wamekuwa matapeli tu ni muda wao sasa kusitaafu siasa.!!
Unataka maendeleo au unataka hoja za Kisiasa? Kulikuwa na siasa awamu ya Mwendazake au yeye ndio alikuwa anajiongelesha mwenyewe na habari zake za wanyonge,Sgr na bwawa?

Kuna mengine tofauti na hayo? Ukimbishia anakurestisha ,ndio siasa unazozitaka au? Acha ujinga.

Mwisho kwani kampeni zimeanza Hadi useme huoni sera? Subiria mda ukifika ccm kama kawaida yake itatoa kitabu Cha sera Maarufu kama Ilani ya Uchaguzi 2024/2025-2029/2030.

Hao Vyama vingine hawanaga sera wanasubiria matukio ndio watumie ku trend 😆😆
 
Niseme tu ukweli toka amefariki Rais Magufuli nchi imepoa kisiasa hakuna hoja kabisa.

Chadema chini ya Mbowe chama kimejifia kabisa. Hakuna sera wala mikakati ya kuwasaidia Watanzania nao wengi wao mamegeuka kama mafisadi ya nchi hii.

Wamewekeza kwenye biashara wanavuna Mbowe anaomba misamaha ya kodi kwa Rais kama ilivyo kwa mafisadi yote ya CCM Shame!!

Viongozi wengi wa upinzani sasa wanakula bia na watu waliosababisha makovu kwa wafuasi wao mwaka 2015-2021.

Mawaziri wa Rais Samia wanashindana kuchota pesa za Umma na kutakatisha kwa kufanya uwekezaji uchwara ambao hauna ajirà zenye tija kwa jamii tofauti na uko nyuma kipindi cha Kikwete mtu akijenga shule amejenga shule kweli na walimu watakuwa private lakini watalipwa kweli kweli

Zichunguze biashara za shule za sasa, angalia sheli za Leo angalia makapuni ya kubeti ya sasa mishahara wanayolipa wafanyakazi yaani Mtu was degree analipwa 150000.

Bahati mbaya mpaka wapinzani wameingia kwenye mtego wa CCM wa kusulubu wafanyakazi was sector binafsi refer kesi ya waandishi wa magazeti ya Mbowe.

Viwanda ndiyo basi kabisa wachina wanatesa wazawa watu wanakatwa vidole na machine viwandani kwa mshahara wa elfu 7 kwa siku.

Wahitimu hawana pa kusemea wapo wapo tu kwa sababu hata wanaotakiwa kuwasemea na wao wameungana na majizi wenzao ccm na chadema wamekuwa kama mtu na mdogo wake hakuna sehemu ya kujitetea.

Jiulize kijana anayeishi Chanika anafanya kazi kariakoo kila siku halafu analipwa elfu 7 nauli ya chanika kariakoo kwenda na kurudi no 3200 anabaki na 3800 chakula 3000 anabaki na 800 atawezaje kulipa kodi? Kununua maji na kulipa bili za umeme?

Taifa linaangamia sasa uchaguzi wa 2025 nani ana Sera ?

Bora utawala wa Magufuli tulijua misimamo yake akisema hapa ni hivi ndio hivyo hivyo!!

Jamani sioni Sera kwenye uchaguzi wa 2025 sio Samia wala Mbowe, Ccm imeoza na Chadema imejifia kabisa hakuna anayewatetea watanzania.

Kama ni uchaguzi bora ccm ibadilishe mgombea maana wakienda hawa kutakuwa hakuna option.

Rais Samia amechoka ila upinzani umechoka zaidi sio Mbowe sio Zitto wote wamekuwa matapeli tu ni muda wao sasa kusitaafu siasa.!!
Kafanye kazi we poyoyo, umeandika upupu.
 
Umeanza thread straight kwa kukosea...

Kumbe wakati wa Magufuli palikuwepo na hoja za kisiasa, kama zilikuwepo kwanini Ben Saanane akapotezwa na Lissu akashambuliwa kwa risasi?
 
Niseme tu ukweli toka amefariki Rais Magufuli nchi imepoa kisiasa hakuna hoja kabisa.

Chadema chini ya Mbowe chama kimejifia kabisa. Hakuna sera wala mikakati ya kuwasaidia Watanzania nao wengi wao mamegeuka kama mafisadi ya nchi hii.

Wamewekeza kwenye biashara wanavuna Mbowe anaomba misamaha ya kodi kwa Rais kama ilivyo kwa mafisadi yote ya CCM Shame!!

Viongozi wengi wa upinzani sasa wanakula bia na watu waliosababisha makovu kwa wafuasi wao mwaka 2015-2021.

Mawaziri wa Rais Samia wanashindana kuchota pesa za Umma na kutakatisha kwa kufanya uwekezaji uchwara ambao hauna ajirà zenye tija kwa jamii tofauti na uko nyuma kipindi cha Kikwete mtu akijenga shule amejenga shule kweli na walimu watakuwa private lakini watalipwa kweli kweli

Zichunguze biashara za shule za sasa, angalia sheli za Leo angalia makapuni ya kubeti ya sasa mishahara wanayolipa wafanyakazi yaani Mtu was degree analipwa 150000.

Bahati mbaya mpaka wapinzani wameingia kwenye mtego wa CCM wa kusulubu wafanyakazi was sector binafsi refer kesi ya waandishi wa magazeti ya Mbowe.

Viwanda ndiyo basi kabisa wachina wanatesa wazawa watu wanakatwa vidole na machine viwandani kwa mshahara wa elfu 7 kwa siku.

Wahitimu hawana pa kusemea wapo wapo tu kwa sababu hata wanaotakiwa kuwasemea na wao wameungana na majizi wenzao ccm na chadema wamekuwa kama mtu na mdogo wake hakuna sehemu ya kujitetea.

Jiulize kijana anayeishi Chanika anafanya kazi kariakoo kila siku halafu analipwa elfu 7 nauli ya chanika kariakoo kwenda na kurudi no 3200 anabaki na 3800 chakula 3000 anabaki na 800 atawezaje kulipa kodi? Kununua maji na kulipa bili za umeme?

Taifa linaangamia sasa uchaguzi wa 2025 nani ana Sera ?

Bora utawala wa Magufuli tulijua misimamo yake akisema hapa ni hivi ndio hivyo hivyo!!

Jamani sioni Sera kwenye uchaguzi wa 2025 sio Samia wala Mbowe, Ccm imeoza na Chadema imejifia kabisa hakuna anayewatetea watanzania.

Kama ni uchaguzi bora ccm ibadilishe mgombea maana wakienda hawa kutakuwa hakuna option.

Rais Samia amechoka ila upinzani umechoka zaidi sio Mbowe sio Zitto wote wamekuwa matapeli tu ni muda wao sasa kusitaafu siasa.!!
Asante Kwa andiko zuri na Wenye akili hatuwezi kupita bila kukujibu. Kosa la CHADEMA ni lipi Kwa Sasa Hadi useme hawatetei Wananchi? Umesahau au umeanzisha thread ukawataja na CDM ili kubalance Mambo? Dar, Mwanza, Mbeya na Arusha CDM wamefanya maandamano Makubwa ajenda zào zikiwa Wazi kuhusu kuwepo Uchaguzi huru ili kurejesha umiliki wa serikali Kwa Wananchi, Mikataba mibovu ikiwemo DP world na kuhimiza serikali kupunguza gharama za maisha Kwa wananchi wa Hali ya chini. Wameongelea Kikokotoo Kwa wastaafu na mishahara midogo Kwa watumishi.
Ni Jana tu, ndiyo ni Jana kuamkia Leo Mbowe kaweka Wazi Siri wa Wabunge wa CCM kujiongezea mishahara kimya kimya toka 13m Hadi 18m Kwa mwezi huku wakijua watumishi wa Umma Wana maisha magumu kutokana na ujira mdogo wanaolipwa. Kwa ubinafsi Wabunge wa CCM wanajijali wenyewe ndo maana wamepitisha miswada inayowapa wao na viongozi wao mafao hata wasipofanya kazi. Yaani Rais wa CCM akistaafu analipwa mara 2. Yeye analipwa na mkewe/mumewe analipwa wakati aliyekuwa mtumishi ni mume au mke pekee.
Hivi kuna mtanzania hajasikia kelele na maneno ya CHADEMA kuhusu udhalimu na ufisadi wa viongozi wa CCM kujineemesha? Hujamsikia MMM kuhusu Mikataba ya watumishi wa Bandari na wakakamusha lakini Jana wametoa barua inayosapoti maneno ya MMM? Hjamsikia akiongelea kitita cha NHIF? Yaani kabisa hujaisikia, huisikii CHADEMA ikisema Kwa niaba ya Wananchi?
Hebu mleta Uzi niambie ulitaka CHADEMA watumie njia gani? Mwanzoni waliposema aataandamana wengi mkasema CHADEMA wanataka kuleta fujo, wamezoea fujo blah blah nyingi. Wameandamana Kwa Amani tena sehemu nyingine wakichokozwa kama Mbeya lakini walifocus kwenye malengo yao (Maandamano ya Amani) basi.
Nipe ulichotaka CHADEMA wafanye zaidi ya mikutano ya hadhara na maandamano ya Amani maana bungeni mliweka watu wenu mkatuaminisha nchi ilicheleweshwa na Wapinzani Ila wakiwa CCM Peke yao bila.hoja kinzani Tanzania itakuwa Singapore ndani ya miaka 5.
 
Back
Top Bottom