Elections 2010 Wana C.C.M Msimpe Kura Kikwete

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Jun 17, 2009
3,444
264
Wana CCM wote, wenye uchungu na nchi yetu, wanaotafunwa na Umasikini, nawaomba na tena kuwasihi, kumpigia Kura Dr. Wilbrod Peter Slaa. Mimi ni mwana CCM wa Damu, lakini sidanganyiki kwa kumpigia kura Kikwete. Kura kwa kikwete ni ya Makamba na kundi lake la mafisadi. Ninavaa Sare za CCM lakini kura yangu ni kwa DR. Wilbroad Peter Slaa wa Chadema. Simpendi Mbowe wala Zito, lakini Dr. Slaa lazima nimpigie kura hata kama nimevaa Nguo za Kijani. Huyu ni mkombozi wa Tanzania aliyeletwa na Mungu. This is another version of Nyerere!

Wana CCM wenye uchungu na nchi, sambazeni huu ujumbe, kila mmoja amwambie mwenzie, ukiwa nje ya nchi piga simu nyumbani kwenu uwaambie. Dr Slaa ndiye Rais. Mkwere akaangue nazi, awachezeshe wanae ngoma, amekumbatia mno ufisadi. Damu za watanzania waliokufa na umasikini zimrudie Kikwete, laana zote zimrudie ili watoto wake wote wabwie unga kama Miraji, na vitambi kama Ridhiwani. Makamba naye watoto wake wote wawe waropokaji na vilaza kama yeye. Mwamvita auze sura hadi hawe kichaa, ndio watatambua kwamba kuwaibia masikini siyo kitu kizuri, kina kikomo chake!

Sheikh Yahya awasaidie wakakutane na mabikira 72 ahera. Familia ya makamba na Mkwere Kikwete, walaaniwe kwa jina la bwana
 
Mhh itakuwa ngumuu!ni dr kikwete kwenda mbele!Hizi laana zako hazimpati mtu, subiri ushindi wa kishindo!Na acha uchochezi
 
hiyo ya kumpigia kura mkono dr ws nakuunga mkono 100% mkuu fisadi origino.


haya hivyo laana hizo kwa kikwete, familia yake, marafiki na jamaa zake naomba sana mkuu ujirudi kwani ni laana kali sana.


najua una uchungu kutokana na jinsi kundi hilo linavyoongoza nchi yetu, lakini kumbuka nao tunawahitaji wafanye toba ili nchi yetu iwe kama ile aliyoahidiwa musa.


mungu ibariki tanzania.
 
Fisadi Originol tutakuunga mkono ukiondoa hizo laana unazombea binadamu wenzako lakini kwa mustakabali wa taifa tutampa kura Dr Slaa
 
Mbona wana sisi m wengi wameshakubali kumtosa? Ninao ndugu zangu ambao ni wana sisi m damu na wameshaniahidi hawawezi kutoa kura zao kwa kikwete
 
Huu ni wito kwa wana C.C.M wenzangu katika kipindi hiki cha kampeni, nawaombeni tuwe wanafiki Katika nyanja zote ila ikifika October 30 KURA ZOTE TUNAMPA DR. SLAA bila kufanya makosa.

  1. Wakitupakia kwenye magari, poa tu tunapanda ila kimoyomoyo tunasema Kikwete hatufai
  2. Wakitupa elfu tano, tuchukue kwa kificho ili TAKOKUU wasitunase maana sheria inasema anaetoa na kupokea Rushwa Wote ni Wakosefu mbele ya sheria.
  3. Wakiwapeni chumvi, ninyi chukueni ...ila mnajua tutampa KURA ZETU DR. Slaa
  4. Wakileta Bendi ya Wanamuziki wenye njaa Mnajichanganya tu kama mimi ninavyofanya, ila Tar 30 October Tunajua Dr. Slaa ndiye tutampa KURA
Wana CCM wenzangu tufanye hivi ili kulinda maslai ya Taifa letu, na sio maslai ya familia za kina Makamba, Kikwete, Kinana nk
 
Safi iyo mana;
chadema"chama cha maendeleo" ni chama cha watu wenye hekima, busara, elimu......
ccm"chama cha malimbukeni" ni kwa watu wenye maamuzi ya kukurupuka na wasiojua wanafanya nni
 
hongera mkuu kwa busara
hiyo ya kumpigia kura mkono dr ws nakuunga mkono 100% mkuu fisadi origino.


haya hivyo laana hizo kwa kikwete, familia yake, marafiki na jamaa zake naomba sana mkuu ujirudi kwani ni laana kali sana.


najua una uchungu kutokana na jinsi kundi hilo linavyoongoza nchi yetu, lakini kumbuka nao tunawahitaji wafanye toba ili nchi yetu iwe kama ile aliyoahidiwa musa.


mungu ibariki tanzania.
 
Huu ni wito kwa wana C.C.M wenzangu katika kipindi hiki cha kampeni, nawaombeni tuwe wanafiki Katika nyanja zote ila ikifika October 30 KURA ZOTE TUNAMPA DR. SLAA bila kufanya makosa.

  1. Wakitupakia kwenye magari, poa tu tunapanda ila kimoyomoyo tunasema Kikwete hatufai
  2. Wakitupa elfu tano, tuchukue kwa kificho ili TAKOKUU wasitunase maana sheria inasema anaetoa na kupokea Rushwa Wote ni Wakosefu mbele ya sheria.
  3. Wakiwapeni chumvi, ninyi chukueni ...ila mnajua tutampa KURA ZETU DR. Slaa
  4. Wakileta Bendi ya Wanamuziki wenye njaa Mnajichanganya tu kama mimi ninavyofanya, ila Tar 30 October Tunajua Dr. Slaa ndiye tutampa KURA
Wana CCM wenzangu tufanye hivi ili kulinda maslai ya Taifa letu, na sio maslai ya familia za kina Makamba, Kikwete, Kinana nk

payuka,
Hiyo tarehe 30 ya kupiga kura za nini?
 
Wana CCM wote, wenye uchungu na nchi yetu, wanaotafunwa na Umasikini, nawaomba na tena kuwasihi, kumpigia Kura Dr. Wilbrod Peter Slaa. Mimi ni mwana CCM wa Damu, lakini sidanganyiki kwa kumpigia kura Kikwete. Kura kwa kikwete ni ya Makamba na kundi lake la mafisadi. Ninavaa Sare za CCM lakini kura yangu ni kwa DR. Wilbroad Peter Slaa wa Chadema. Simpendi Mbowe wala Zito, lakini Dr. Slaa lazima nimpigie kura hata kama nimevaa Nguo za Kijani. Huyu ni mkombozi wa Tanzania aliyeletwa na Mungu. This is another version of Nyerere!

Wana CCM wenye uchungu na nchi, sambazeni huu ujumbe, kila mmoja amwambie mwenzie, ukiwa nje ya nchi piga simu nyumbani kwenu uwaambie. Dr Slaa ndiye Rais. Mkwere akaangue nazi, awachezeshe wanae ngoma, amekumbatia mno ufisadi. Damu za watanzania waliokufa na umasikini zimrudie Kikwete, laana zote zimrudie ili watoto wake wote wabwie unga kama Miraji, na vitambi kama Ridhiwani. Makamba naye watoto wake wote wawe waropokaji na vilaza kama yeye. Mwamvita auze sura hadi hawe kichaa, ndio watatambua kwamba kuwaibia masikini siyo kitu kizuri, kina kikomo chake!

Sheikh Yahya awasaidie wakakutane na mabikira 72 ahera. Familia ya makamba na Mkwere Kikwete, walaaniwe kwa jina la bwana

Ni mtu mpumbavu tu ndiyo atapigia CCM Jumapili 31.10.2010
 
Kikwete na Familia yake wanahaki ya kumpigia kura baba yao, kwakua anawapa Ugali.
ila WaTanzania woote wenye akili Timamu, ni jambo baya na laana kumpigia kura huyu Mkwere, amedhihirisha kuwa ni mleta mizaha tuliyemkabidhi Ikulu.
 
Back
Top Bottom