Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,671
- 26,026
Hawa jamaa wanaanzisha kodi za ajabu ajabu kila kukicha sijui kwa sababu ya uwezo wao wa kufikiri au roho mbaya tuu sipati jibu unawezaje kuwaongezea gharama watu wapo kwenye mpito wa Covid 19 mitaji imepukutika mno watu wanalinda afya badala ya kuwapa hauweni ninyi ndio mnakuja kuwaua tena...Mungu awasamehe kwa kweli ila hii itabaki kwenye kumbukumbu kwa vizazi vijavyo kwa yaliyowahi kujiri Tanzania..