Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,123
- 173,976
Hizo ndio Gharama za kumaintain ujiko kitaani!Tunastahili hongera but ukweli ndani ya mioyo yetu tunaumia kuliko unavyodhan maana tangu sijawah kutumia chini ya laki tano kwa matengenezo ya aina yoyote
Na sometime kujkuta inatoka mpk 3m usishangae