Maleven JF-Expert Member Sep 8, 2019 624 2,775 Oct 26, 2023 #1 Yani ile dhana ya wamasai walefu inaenda kupotea, nadhani wanafanya interbreeding, au huku pwani hawanywi maziwa. Yani unakutana na mmasai kafupi mwenye hadhi ya kuitwa mbilikimo kabisa, ukiachana na shuka zao, huwezi watofautisha
Yani ile dhana ya wamasai walefu inaenda kupotea, nadhani wanafanya interbreeding, au huku pwani hawanywi maziwa. Yani unakutana na mmasai kafupi mwenye hadhi ya kuitwa mbilikimo kabisa, ukiachana na shuka zao, huwezi watofautisha
A Akilinjema JF-Expert Member Aug 9, 2016 11,433 11,747 Oct 26, 2023 #2 Vipi Upande wa wasukuma? Hivi wanavyojichanganya kuoa makabila mengine!
A Akilinjema JF-Expert Member Aug 9, 2016 11,433 11,747 Oct 26, 2023 #4 Lakini wamasai sizani kama wameanza kujichanganya na makabila?! Sana sana huku Handeni nawaona wakioa wazungu ambao ni warefu pia.
Lakini wamasai sizani kama wameanza kujichanganya na makabila?! Sana sana huku Handeni nawaona wakioa wazungu ambao ni warefu pia.
makaveli10 JF-Expert Member Mar 27, 2013 28,137 81,005 Oct 26, 2023 #5 Wengine sio wamasaii wanavaa shuka ili wapige kazi mjini.