Mkuu nitake radhi aiseee, haiwezekani unitukane kiasi hiki. ndo shida ya kuwa localised mithili ya mti, yaani kila reference unayoifanya iko centred na dsm pekee. kama ni sifa ulizotaja hapo juu mbona ziko karibu maeneo yote ya nchi hii! open up your mind and think outside the box!
hahaha baba sifa zipo nchi nzima lakina wamakonde mmezidi mara mia.pole sanaaa babaa.