Mkuu hata hilo hapo kwenye Bold sidhani kama lina tofauti sana na alilotumia jamaa nadhani zote ni Slang au unaweza kunipa maelezo zaidi....
Gazeti moja la mwanza limeandika kandoro atofautiana na mkurugenzi wa jiji (kabwe) inaonekana kandoro alikubali wamachinga kufanya shughuli zao eneo la makoroboi ambalo liko maeneo ya mjini lakin mkurugenzi kachomoa.