Hivi Lema kahukumiwa kwa kumtukana nani?. Aliyetukanwa hakushitaki, na hata mahakamani hakufika ila waliosikia wameshinda kesi. Walioshitaki ni wasikilizaji, hawa wasikilizaji wanaenda mahakamani bila evidence yoyote zaidi ya midomo yao. Yani sijawahi kuona ila imetokea Tanganyika. Na wanasema mahakama zina haki na usawa. Katika ushahidi ilitakiwa walioshitaki kuwa walisikia lema akitukana watoe ushaidi wa Tape yani maneno yaliyorekodiwa yakisikika lema akitamka ivyo au video iliyorekodiwa ikimwonyesha na kusikika maneno. Hapa ndio lema angepatikana na hatia. Kwasababu kwa upande wa lema napo kuna watetezi wake wanaosema kuwa lema hakutukana. sasa iweje hakimu awe upande mmoja?, ina maana kawaonea huu upande wa mashaidi wa lema ambao nao ushaidi wao ulikuwa ni mdomo. Kilichotakiwa hapa upande unaodai kusikia matusi watoe tape/video kuihakikishia mahakama ushaidi wao. Kwakweli kwa kesi ya lema hata kwa hakimu alieanza kazi juzi asingemhukumu lema, angetupilia mbali. Kwasababu upande wa walalamikaji ushaidi wao hakutosheleza. Tuko kwenye karne ya sayansi na technologia mikutano yote kuna tv, kuna wenye simu, video kamera na hata Phillips ndie yenyewe sauti safi sauti kubwa. Washtaki walitakiwa wawe na ushaidi wa kisasa kama ivyo. Sio kuibuka tu kuwa nilimsikia lema akitukana na Jaji anasema sawa mfungeni huyu. Wote wenye kesi na watetezi walikuwa sawa upande huu wanasema hakusema, upande mwingine wanasema alisema, kupata upande unaosema ukweli iliitajika tape ya maneno na video ya picha ikiambatana anayoyasema mshtakiwa (lema). Kwa namna hii serikali,ya Tanganyika kweli hakuna Majaji kama wapo basi wameongwa na watawala. Hivyo katika nchi hii haki haitapatikana mpaka siku katiba mpya itakapopatikana na kupata chama makini wa kuisimamia. Kwani sio kwamba sheria hazipo sheria zipo lakini zimechukuliwa na watawala wa chama cha mafisi. Majaji, Mahakimu wamekubali kuidhalilisha taaluma yao kwa ajili ya tamaa yao ya kuishi au kuganga njaa ya siku moja huku wananchi wakiteseka, na kulalamika kutokana na hukumu zao zisizofuata haki. Lakini nasema yana mwisho hata ipite miaka mingapi, haki itapatikana na ninawaonea huruma hao Majaji, Mahakimu wanaaopindisha sheria kwani, wapo akina lema waliozaliwa leo na wenye umri wa kujua ni nini kinafanyika leo. Hivyo usije ukaona/kusikia huyo Jaji/hakimu akifia jela kwa makosa aliyoyatenda miaka 20 nyuma. Mungu yupo yeye ndio muamuzi wa yote.
Makosa yako kwenye kifungu cha sheria za uchaguzi namba 108(II) (a) Jaji kwa kudhamiria katumia kifungu cha sheria za uchaguzi namba 114 ambacho kinahusu makosa yaliyotokana na rushwa tu halafu ikulu inataka tuamini kwamba mahakama ni muhimili ulio huru? Dhamira yao Ilikuwa Lema akate rufaa, kesi ichukue muda mrefu, Arusha isiwe na mbunge kipindi chote hicho cha kesi. Kwa makusudi kabisa pamoja na kifungu hicho cha 114 kutoruhusu Yule aliye patikana na hatia kutokugombea kwa kipindi kisichozidi miaka mitano Jaji hakutamka adhabu hiyo, Kaacha hukumu inaelea. Ukombozi unakuja na ndio muda wake huu
Mungu yupo! Haki zetu zinaporwa na hawa wala roho za watu, ulevi wa madaraka ni mbaya kuliko ulevi wa pombe
hivi lema kahukumiwa kwa kumtukana nani?. Aliyetukanwa hakushitaki, na hata mahakamani hakufika ila waliosikia wameshinda kesi. Walioshitaki ni wasikilizaji, hawa wasikilizaji wanaenda mahakamani bila evidence yoyote zaidi ya midomo yao. Yani sijawahi kuona ila imetokea tanganyika. Na wanasema mahakama zina haki na usawa. Katika ushahidi ilitakiwa walioshitaki kuwa walisikia lema akitukana watoe ushaidi wa tape yani maneno yaliyorekodiwa yakisikika lema akitamka ivyo au video iliyorekodiwa ikimwonyesha na kusikika maneno. Hapa ndio lema angepatikana na hatia. Kwasababu kwa upande wa lema napo kuna watetezi wake wanaosema kuwa lema hakutukana. Sasa iweje hakimu awe upande mmoja?, ina maana kawaonea huu upande wa mashaidi wa lema ambao nao ushaidi wao ulikuwa ni mdomo. Kilichotakiwa hapa upande unaodai kusikia matusi watoe tape/video kuihakikishia mahakama ushaidi wao. Kwakweli kwa kesi ya lema hata kwa hakimu alieanza kazi juzi asingemhukumu lema, angetupilia mbali. Kwasababu upande wa walalamikaji ushaidi wao hakutosheleza. Tuko kwenye karne ya sayansi na technologia mikutano yote kuna tv, kuna wenye simu, video kamera na hata phillips ndie yenyewe sauti safi sauti kubwa. Washtaki walitakiwa wawe na ushaidi wa kisasa kama ivyo. Sio kuibuka tu kuwa nilimsikia lema akitukana na jaji anasema sawa mfungeni huyu. Wote wenye kesi na watetezi walikuwa sawa upande huu wanasema hakusema, upande mwingine wanasema alisema, kupata upande unaosema ukweli iliitajika tape ya maneno na video ya picha ikiambatana anayoyasema mshtakiwa (lema). Kwa namna hii serikali,ya tanganyika kweli hakuna majaji kama wapo basi wameongwa na watawala. Hivyo katika nchi hii haki haitapatikana mpaka siku katiba mpya itakapopatikana na kupata chama makini wa kuisimamia. Kwani sio kwamba sheria hazipo sheria zipo lakini zimechukuliwa na watawala wa chama cha mafisi. Majaji, mahakimu wamekubali kuidhalilisha taaluma yao kwa ajili ya tamaa yao ya kuishi au kuganga njaa ya siku moja huku wananchi wakiteseka, na kulalamika kutokana na hukumu zao zisizofuata haki. Lakini nasema yana mwisho hata ipite miaka mingapi, haki itapatikana na ninawaonea huruma hao majaji, mahakimu wanaaopindisha sheria kwani, wapo akina lema waliozaliwa leo na wenye umri wa kujua ni nini kinafanyika leo. Hivyo usije ukaona/kusikia huyo jaji/hakimu akifia jela kwa makosa aliyoyatenda miaka 20 nyuma. Mungu yupo yeye ndio muamuzi wa yote.
Nimesoma posti karibuni zote na kujidhihirisha kwa nini wanasheria wanaitwa learned brothers/sisters.
Mtu Kama hujui sheria basi utabaki kuwa na hisia zako ambazo hazina uthibitisho mahakamani.
Wengine wanaenda mbali kudai kuwa mbona Batilda hakuwepo mahakamani, nami nauliza mtu aliyeuwawa na mtu mwingine huwa anakuja kutoa ushahidi?
Sheria ni kitu ingine bana, na ukiingia na ujuaji waweza kula mvua bila kujielewa.
Watu tuliowahisi wauaji Kama Zombe wametumia mwanya wa sheria kwa ufanisi mkubwa na hivyo kukwepa kitanzi.
Tukumbuke umaarufu wa kisiasa si kipingamizi cha kutochukuliwa hatua za kisheria.
Nyie mnao tetea sana hili hebu muungane kumpeleka Lusinde (aka mheshimiwa wa matusi)lupango.