Walioondolewa Tanesco waonyesha furaha badala ya masikitiko

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,746
218,338
Taarifa zilizopo zinaonyesha kwamba walioondolewa na wanaotarajiwa kuondolewa Tanesco wamepatwa na furaha ya ajabu , kinyume na matarajio ya wengi waliodhani kwamba labda Waenda zao hao huenda wangesononeka .

Furaha hii ni Ishara ya wahusika kuondolewa kichwani mwao Gunia la misumali , haiwezekani mtu aliyehamishwa kazi , kubadilishwa kituo cha kazi au kuondolewa kabisa awe na furaha , iweje hawa wa Tanesco wawe na amani kiasi hiki , Pana nini hapo Tanesco ?

Muonekano wa wahanga hao kwa macho ya kawaida tu ni sawa na Watumwa wa Muda mrefu ambao wamefunguliwa Minyororo ya Chuma miguuni na mikononi , wamejaa Matumaini Kibao .
 
Taarifa zilizopo zinaonyesha kwamba walioondolewa na wanaotarajiwa kuondolewa Tanesco wamepatwa na furaha ya ajabu , kinyume na matarajio ya wengi waliodhani kwamba labda Waenda zao hao huenda wangesononeka ...
Muonekano wa wahanga hao kwa macho ya kawaida tu ni sawa na Watumwa wa Muda mrefu ambao wamefunguliwa Minyororo ya Chuma miguuni na mikononi , wamejaa Matumaini Kibao .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha Erythrocyte ametegesha mada.

Upo uwezekano mkubwa anasubiri maswali na majibu ya mtego, kamavile

Kuna nini TANESCO kilichowafanya hawa "Wahanga" kujisikia wakiwa na misumari vichwani?

Halafu ajibu: 'Usambazaji wa Umeme ni kazi kubwa sana, inahitaji vichwa vilivyotulia na hawa wahanga walikuwa hawajatulia,si unajua 'Waafrika walivyo' ni wavivu wa kufukiria -yani ni same old script ya mababeru ya kudhihaki ambayo inahusisha kudhalilisha, kufedhehesha, kutukana, kuaibishana n.k Sasa utajasikia-ati inapaswa TANESCO igawanywe, wapewe wazungu' ndugu zake au wabinafsishe, kana kwamba ndio mbadala. Au, atajibu... Sio Unajua Watanzania au Waafrika hawana hisia au Uchungu! In short anadai Maharage hana Hisia na hivyo basi hana ubinadamu-fikra ambazo zimetawala wazungu na vibaraka na mawakala wao wa sera za kibeberu. Bigoted thoughts.

This is so low.
 
Ha ha Erythrocyte ametegesha mada.

Upo uwezekano mkubwa anasubiri maswali na majibu ya mtego, kamavile

Kuna nini TANESCO kilichowafanya hawa "Wahanga" kujisikia wakiwa na misumari vichwani?

Halafu ajibu: 'Usambazaji wa Umeme ni kazi kubwa sana, inahitaji vichwa vilivyotulia na hawa wahanga walikuwa hawajatulia,si unajua 'Waafrika walivyo' ni wavivu wa kufukiria -yani ni same old script ya mababeru ya kudhihaki ambayo inahusisha kudhalilisha, kufedhehesha, kutukana, kuaibishana n.k Sasa utajasikia-ati inapaswa TANESCO igawanywe, wapewe wazungu' ndugu zake au wabinafsishe, kana kwamba ndio mbadala. Au, atajibu... Sio Unajua Watanzania au Waafrika hawana hisia au Uchungu! In short anadai Maharage hana Hisia na hivyo basi hana ubinadamu-fikra ambazo zimetawala wazungu na vibaraka na mawakala wao wa sera za kibeberu. Bigoted thoughts.

This is so low.
Ohooo !!!
 
Taarifa zilizopo zinaonyesha kwamba walioondolewa na wanaotarajiwa kuondolewa Tanesco wamepatwa na furaha ya ajabu , kinyume na matarajio ya wengi waliodhani kwamba labda Waenda zao hao huenda wangesononeka .

Furaha hii ni Ishara ya wahusika kuondolewa kichwani mwao Gunia la misumali , haiwezekani mtu aliyehamishwa kazi , kubadilishwa kituo cha kazi au kuondolewa kabisa awe na furaha , iweje hawa wa Tanesco wawe na amani kiasi hiki , Pana nini hapo Tanesco ?

Muonekano wa wahanga hao kwa macho ya kawaida tu ni sawa na Watumwa wa Muda mrefu ambao wamefunguliwa Minyororo ya Chuma miguuni na mikononi , wamejaa Matumaini Kibao .
Waondoke na miradi yao hewa ya umeme solar, na kanzi data
 
Taarifa zilizopo zinaonyesha kwamba walioondolewa na wanaotarajiwa kuondolewa Tanesco wamepatwa na furaha ya ajabu , kinyume na matarajio ya wengi waliodhani kwamba labda Waenda zao hao huenda wangesononeka .

Furaha hii ni Ishara ya wahusika kuondolewa kichwani mwao Gunia la misumali , haiwezekani mtu aliyehamishwa kazi , kubadilishwa kituo cha kazi au kuondolewa kabisa awe na furaha , iweje hawa wa Tanesco wawe na amani kiasi hiki , Pana nini hapo Tanesco ?

Muonekano wa wahanga hao kwa macho ya kawaida tu ni sawa na Watumwa wa Muda mrefu ambao wamefunguliwa Minyororo ya Chuma miguuni na mikononi , wamejaa Matumaini Kibao .
Amevuna vya kutosha ndio maana hawajali. Haitoshi kuwaondoa tu wawaite takukuru wahakiki na mali zao uone maajabu.
 
Mpiga dili wa bumbuli alipotea Twitter tangu 2021 kwa kukwepa kuulizwa madudu ya wizara ya nishati.

Leo nimepita kwenye TL naona amerudi kuwa active na wizara ya mambo ya nje anaona ndio chaka la kuendeleza usanii wake , comment karibia zote zinazomuuliza madudu aliyofanya na kuyakwepa kwa miaka 2 amezihide huku mwenzie Nepi akifunga uwanja wa comments.

Nikiri wazi huyu msanii na Nepi kuwa mawaziri ukijumlisha na boss wao aliyefeli shule kipindi hicho sasa anafeli na uongozi hakika Tanzania imerudi jehanam kama miaka 6 iliyopita
 
WATANZANIA walipiga kelele nyingi sana baada ya januari na maharage na bodi mpya kuteuliwa wakapuuzwa sasa matokeo yameprove wamefeli vibaya nchi iko gizani

Aibu kwa samia na mamlaka yake ya uteuzi waliteuwa kimihemko badala ya kuangalia weledi ona sasa kamrudisha Mhandisi kuwa Mkurugenzi

Na bodi kaiweka Mwenyekiti mpya

Rais apunguze kuziba masikio 😕
 
Furaha yao kuondolewa ni ishara kuwa walikuwa na uwezo na akili ndogo kuliko majukumu ya hapo TANESCO. Sasa wamepewa kazi ya "kukutana" na diaspora, barozi kazi ambazo hazitaji akili kubwa.
 
Taarifa zilizopo zinaonyesha kwamba walioondolewa na wanaotarajiwa kuondolewa Tanesco wamepatwa na furaha ya ajabu , kinyume na matarajio ya wengi waliodhani kwamba labda Waenda zao hao huenda wangesononeka .

Furaha hii ni Ishara ya wahusika kuondolewa kichwani mwao Gunia la misumali , haiwezekani mtu aliyehamishwa kazi , kubadilishwa kituo cha kazi au kuondolewa kabisa awe na furaha , iweje hawa wa Tanesco wawe na amani kiasi hiki , Pana nini hapo Tanesco ?

Muonekano wa wahanga hao kwa macho ya kawaida tu ni sawa na Watumwa wa Muda mrefu ambao wamefunguliwa Minyororo ya Chuma miguuni na mikononi , wamejaa Matumaini Kibao .
Wamemaliza ujuma yao
 
Taarifa zilizopo zinaonyesha kwamba walioondolewa na wanaotarajiwa kuondolewa Tanesco wamepatwa na furaha ya ajabu , kinyume na matarajio ya wengi waliodhani kwamba labda Waenda zao hao huenda wangesononeka .

Furaha hii ni Ishara ya wahusika kuondolewa kichwani mwao Gunia la misumali , haiwezekani mtu aliyehamishwa kazi , kubadilishwa kituo cha kazi au kuondolewa kabisa awe na furaha , iweje hawa wa Tanesco wawe na amani kiasi hiki , Pana nini hapo Tanesco ?

Muonekano wa wahanga hao kwa macho ya kawaida tu ni sawa na Watumwa wa Muda mrefu ambao wamefunguliwa Minyororo ya Chuma miguuni na mikononi , wamejaa Matumaini Kibao .
Hakuna raha kama umeshapiga vya kutosha mahali mpaka ukawa na hofu ya kuendelea kuwepo mahali hapo ukihofia siku ikibumbulika itakuwaje..kisha unaambiwa unahamishwa..yaani mfumo haukuwajibishi kwa lolote..

Unaachaje kusheherekea.?Unaenda kutumia pesa zako kwa utulivu kabisa.
 
Back
Top Bottom