Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
Wale mahawara walionasana kama mbwa tayari mwenye mke kawanasua kwa dau nono.
Awali mwenye mke alitaka alipwe Milioni 16 ili awanasue mahawara hao ikaonekana mwenye mwanaume hana dau hilo wadau wakashuka nae mwenye mke mpaka akakubali alipwe Milioni 5 maana anadai aliwashuku toka kipindi kirefu wanafanya uzinzi alipo muuliza mke wake aliruka kihunzi na kukataa kata kata na alipo mfuata jamaa nae ikawa hivyo hivyo basi mme wa huyo mwanamke akakomaa na hiyo Milioni 5 ili awanasue iliposhindikana hilo dau jamaa mwenye mke akaondoka ikabidi wadau wachangishane ikafika Milioni 2 wakamfuata mwenye mke akakubali kwa sharti la kupewa hizo Milioni 3 zilizo salia basi akaenda kuchomoa usinge jamaa akachomoka kwenye uke sasa jamaa yupo huru ila ana deni la Milioni 3 kwa mgoni huyo.
Awali mwenye mke alitaka alipwe Milioni 16 ili awanasue mahawara hao ikaonekana mwenye mwanaume hana dau hilo wadau wakashuka nae mwenye mke mpaka akakubali alipwe Milioni 5 maana anadai aliwashuku toka kipindi kirefu wanafanya uzinzi alipo muuliza mke wake aliruka kihunzi na kukataa kata kata na alipo mfuata jamaa nae ikawa hivyo hivyo basi mme wa huyo mwanamke akakomaa na hiyo Milioni 5 ili awanasue iliposhindikana hilo dau jamaa mwenye mke akaondoka ikabidi wadau wachangishane ikafika Milioni 2 wakamfuata mwenye mke akakubali kwa sharti la kupewa hizo Milioni 3 zilizo salia basi akaenda kuchomoa usinge jamaa akachomoka kwenye uke sasa jamaa yupo huru ila ana deni la Milioni 3 kwa mgoni huyo.