Walionasana kimeeleweka

Fidel80

JF-Expert Member
May 3, 2008
21,947
4,445
Wale mahawara walionasana kama mbwa tayari mwenye mke kawanasua kwa dau nono.
Awali mwenye mke alitaka alipwe Milioni 16 ili awanasue mahawara hao ikaonekana mwenye mwanaume hana dau hilo wadau wakashuka nae mwenye mke mpaka akakubali alipwe Milioni 5 maana anadai aliwashuku toka kipindi kirefu wanafanya uzinzi alipo muuliza mke wake aliruka kihunzi na kukataa kata kata na alipo mfuata jamaa nae ikawa hivyo hivyo basi mme wa huyo mwanamke akakomaa na hiyo Milioni 5 ili awanasue iliposhindikana hilo dau jamaa mwenye mke akaondoka ikabidi wadau wachangishane ikafika Milioni 2 wakamfuata mwenye mke akakubali kwa sharti la kupewa hizo Milioni 3 zilizo salia basi akaenda kuchomoa usinge jamaa akachomoka kwenye uke sasa jamaa yupo huru ila ana deni la Milioni 3 kwa mgoni huyo.
 
"Ila wake za watu watamu jamani", mapenzi ya haraka haraka haya wataalamu wanasema matamu sana
Mnakutana kama kuku cha cha cha umemaliza unasikilizie tena chachacha
 
Good, mjasiriamali bana safi sanaKaona opportunity, kairukia, kajua atapambana vipi na kompetita.
 
"Ila wake za watu watamu jamani", mapenzi ya haraka haraka haya wataalamu wanasema matamu sana
Mnakutana kama kuku cha cha cha umemaliza unasikilizie tena chachacha
Na wewe natamani unasishwe ili ukome kuchukua wake za watu, si uoe wako!!!!!!!!!!!
 
LMfAO!
Sasa huyo baba amgawie mkewe hela ili wafanye biashara kabisaa! Mama anaenda huko, ananasishwa na wanachukua donge nono!
 
Kuna Babu mmoja wa Magomeni, Bagamoyo aliniambia kuwa hiyo dawa ikimshika mtu, baada ya kutolewa huwa anafariki baada ya muda mfupi yaani kuanzia miaka miwili hadi 3 baada ya tukio. Sasa sijui kama ni kweli au Babu alitumia busara zake kutahadharisha kuhusu vya watu.
 
Wale mahawara walionasana kama mbwa tayari mwenye mke kawanasua kwa dau nono.
Awali mwenye mke alitaka alipwe Milioni 16 ili awanasue mahawara hao ikaonekana mwenye mwanaume hana dau hilo wadau wakashuka nae mwenye mke mpaka akakubali alipwe Milioni 5 maana anadai aliwashuku toka kipindi kirefu wanafanya uzinzi alipo muuliza mke wake aliruka kihunzi na kukataa kata kata na alipo mfuata jamaa nae ikawa hivyo hivyo basi mme wa huyo mwanamke akakomaa na hiyo Milioni 5 ili awanasue iliposhindikana hilo dau jamaa mwenye mke akaondoka ikabidi wadau wachangishane ikafika Milioni 2 wakamfuata mwenye mke akakubali kwa sharti la kupewa hizo Milioni 3 zilizo salia basi akaenda kuchomoa usinge jamaa akachomoka kwenye uke sasa jamaa yupo huru ila ana deni la Milioni 3 kwa mgoni huyo.

Si wamevunja rikodi ya uroda hao? Wako wapi Guiness????
 
Wale mahawara walionasana kama mbwa tayari mwenye mke kawanasua kwa dau nono.
Awali mwenye mke alitaka alipwe Milioni 16 ili awanasue mahawara hao ikaonekana mwenye mwanaume hana dau hilo wadau wakashuka nae mwenye mke mpaka akakubali alipwe Milioni 5 maana anadai aliwashuku toka kipindi kirefu wanafanya uzinzi alipo muuliza mke wake aliruka kihunzi na kukataa kata kata na alipo mfuata jamaa nae ikawa hivyo hivyo basi mme wa huyo mwanamke akakomaa na hiyo Milioni 5 ili awanasue iliposhindikana hilo dau jamaa mwenye mke akaondoka ikabidi wadau wachangishane ikafika Milioni 2 wakamfuata mwenye mke akakubali kwa sharti la kupewa hizo Milioni 3 zilizo salia basi akaenda kuchomoa usinge jamaa akachomoka kwenye uke sasa jamaa yupo huru ila ana deni la Milioni 3 kwa mgoni huyo.


Mke wa mtu sumu
 
Back
Top Bottom