Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Mahakama leo imewaachia huru watuhumiwa kwenye kesi ya kumvamia na kumshambulia Mhariri wa Mwanahalisi Saed Kubenea na Mshauri wake Ndimara Tegambwage.
Kwa mujibu wa taarifa ya habari ya TBC, HAkimu aliwaachia huru washitakiwa wote kwenye kesi hiyo iliyoanza kusikilizwa 2008 kwa madai kuwa ushahidi wa Polisi uliotolewa Mahakamani dhidi ya Wahistakiwa ni dhaifu!
Hivi Polisi wetu waliowakamata watu hao na kuwafungulia mashitaka ni makini kiasi gani? AU ndo yale yale kufanya kazi zao kisiasa zaidi badala ya kuzingatia taaluma? Kama Polisi waliona hakuna ushahidi wa kutosha dhidi ya Watuhumiwa hao, kwa nini basi hawakuomba kuondoa kesi hiyo badala ya kujidhalilisha kiasi hicho? Au kulikuwa na maelekezo maalumu ya kuhakikisha Watuhumiwa hao wanaachiwa huru?
Kwa mujibu wa taarifa ya habari ya TBC, HAkimu aliwaachia huru washitakiwa wote kwenye kesi hiyo iliyoanza kusikilizwa 2008 kwa madai kuwa ushahidi wa Polisi uliotolewa Mahakamani dhidi ya Wahistakiwa ni dhaifu!
Hivi Polisi wetu waliowakamata watu hao na kuwafungulia mashitaka ni makini kiasi gani? AU ndo yale yale kufanya kazi zao kisiasa zaidi badala ya kuzingatia taaluma? Kama Polisi waliona hakuna ushahidi wa kutosha dhidi ya Watuhumiwa hao, kwa nini basi hawakuomba kuondoa kesi hiyo badala ya kujidhalilisha kiasi hicho? Au kulikuwa na maelekezo maalumu ya kuhakikisha Watuhumiwa hao wanaachiwa huru?