Kwa Kubenea, naamini hawa walioachiwa walikamatwa kama kisanii na ndio maana hawajaonekana na hatia. Lakin nina wasiwasi waliofanya kosa hili wanajulikana na wanalindwa ili wasiletwe mbele ya sheria. Hili ndilo linalotisha!
Pole kubenea, pole pia mpiganaji mzee ndimara,.....
Hamna cha Lowassa wala Rostam ni Kwetw mwenyewe nwa mwane Ridhwani ndiyo waliohusika...baada ya Kubenea kuandika ile kashfa ya deep gree finance akimuhusiha kikwete, waziri masha, jaji nanii.. yule aliepewa ujaji kama sante kwa kuiba kupitia deep green finance, isshengoma n.k....
Ila wamechokoza nyuki , NINAVYOWAJUA KINA KUBENEA NA MZEE NDIMARA! revenji yao itakuwa hatari.....!
Maoni yangu: Haki imetendeka kwa watuhumiwa maana bila ushahidi usimfunge mtu. Lakini Haki haijatendeka kwa Ndimara na mwenzake. Ni jukumu la Jamhuri kuwakamata wahusika wa tukio badala ya watu wengine.
KUBENEA na Mwenzako nawapa pole. Hiyo inaitwa system
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.