Walimu wakuu, wasimamizi wa mitihani na wamiliki wa shule waliojihusisha na udanganyifu wa mitihani katika shule za msingi na sekondari wamechukuliwa hatua mbalimbali zikiwemo kuwafutia wanafunzi matokeo, kusimamisha udahili wa wanafunzi wa kidato cha kwanza kwa baadhi ya shule binafsi, kuwafikisha baadhi ya wakuu wa shule, wamiliki wa shule na wasimamizi wa mitihani katika vyombo vya sheria n.k.
Source: Kauli ya Waziri wa wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi bungeni leo.
Source: Kauli ya Waziri wa wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi bungeni leo.