Kwa vile Tanzania inaongozwa na Utawala wa Sheria, basi nyie mliokosa viwanja mna haki kamili ya kukata Ruffaaa na kujua ni kigezo gani kilitumika katika kugawa viwanja hivyo.
Na msiporidhika na hapo mna haki kamili ya kwenda mahakamani na kusimamisha zoezi lenyewe mpaka suala lenu litakapopatiwa ufumbuzi.
Pole sana ila tumia haki yako kisheria na kikatiba
Huyo Khalfan ni under 18, nadhani Ardhi wamevunja sheria makusudi kabisa.
Na wewe ndio umetumia akili hapo.......acheni ushabiki wa kijinga...hakuna topic zingine zaidi ya kusema watu bila mpango, ooo watoto wa wakubwa mara wanaccm, yote hii ni wivu....
Inawezekana na wewe ni mmojawapo....
Natamani ningepata bahati ya kuona sura yako, nione unafananaje!. Sio binadamu wa kawaida wewe.Na wewe ndio umetumia akili hapo.......acheni ushabiki wa kijinga...hakuna topic zingine zaidi ya kusema watu bila mpango, ooo watoto wa wakubwa mara wanaccm, yote hii ni wivu....
Jamani mbona watu mmekosa, kuna yule wa Arusha naye kasema hakupata....sasa wakina nani wanapata?? au wote watoto au ndugu wa vigogo!!Nami yalikuta viwanja vya kibada!
inuma sana
bibie Mimi ni mwana CCM.