Waliobahatika Viwanja vya Geza Ulole

Mvaa Tai

JF-Expert Member
Aug 11, 2009
6,159
4,443
Habari za asubuhi wana Jamvi, mimi ni mmoja kati ya watu walio omba kuuziwa viwanja vya mradi wa Gezaulole Kigamboni, nilichukua form nane moja ya kwangu nyingine ya mke wangu na hizi zingine za wadogo wangu ambao ni watu wazima na hawana makazi, niliamini tutapata japo viwanja viwili vitatu. Lakini cha ajabu orodha imebandikwa rasmi kinyemela pale Manispaa ya Temeke ikionyesha watu wanao stahili kuuziwa hivyo viwanja, sisi hatuja bahatika hata kiwanja kimoja. Kwa haraka haraka nimegundua ili kupata hivyo viwanja inabidi uwe na bahati sana au uwe na jina kubwa kama ambavyo yanasomeka pale Temeke. Baadhi ya watu waliobahatika kupata hivyo viwanja ni.

1.Khalfani Kikwete amepata haki ya kuuziwa kiwanja cha ujazo wa chini(Kikubwa)
2.H. Ghasia amepata haki ya kuuziwa kiwanja cha ujazo wa chini(Kikubwa)
3.M. Mwandosya amepata haki ya kuuziwa kiwanja ila hawaja-specify aina ya kiwanja anachotaka.

Hawa ni watu wachache tu kati ya orodha ndefu ambayo kutokana na moyo wangu kuumizwa sana sikuendelea kuisoma.

Inaniuma sana kati ya form nane hakuna mwenye sifa za kuuziwa kiwanja na serikali? kwasababu tuliambiwa kiwanja kimoja tutashindanishwa watu watatu. Na kama ushindani ulikuwa mkubwa inakuwaje mtu amepata kuuziwa kiwanja ambacho bado specifications zake zinafanyiwa kazi?

Source: Ubao wa matangazo manispaa ya Temeke
 
Pole ndio kwetu kulivyo mwenye kisu kikali ndio anakula nyama,lakini usife moyo kua na subra ikosiku utapata.
 
pole kaka tanzania bado tupo kwenye mbio za kuwania uhuru ...hope one day YES
 
Habari za asubuhi wana Jamvi, mimi ni mmoja kati ya watu walio omba kuuziwa viwanja vya mradi wa Gezaulole Kigamboni, nilichukua form nane moja ya kwangu nyingine ya mke wangu na hizi zingine za wadogo wangu ambao ni watu wazima na hawana makazi, niliamini tutapata japo viwanja viwili vitatu. Lakini cha ajabu orodha imebandikwa rasmi kinyemela pale Manispaa ya Temeke ikionyesha watu wanao stahili kuuziwa hivyo viwanja, sisi hatuja bahatika hata kiwanja kimoja. Kwa haraka haraka nimegundua ili kupata hivyo viwanja inabidi uwe na bahati sana au uwe na jina kubwa kama ambavyo yanasomeka pale Temeke. Baadhi ya watu waliobahatika kupata hivyo viwanja ni.

1.Khalfani Kikwete amepata haki ya kuuziwa kiwanja cha ujazo wa chini(Kikubwa)
2.H. Ghasia amepata haki ya kuuziwa kiwanja cha ujazo wa chini(Kikubwa)
3.M. Mwandosya amepata haki ya kuuziwa kiwanja ila hawaja-specify aina ya kiwanja anachotaka.

Hawa ni watu wachache tu kati ya orodha ndefu ambayo kutokana na moyo wangu kuumizwa sana sikuendelea kuisoma.

Inaniuma sana kati ya form nane hakuna mwenye sifa za kuuziwa kiwanja na serikali? kwasababu tuliambiwa kiwanja kimoja tutashindanishwa watu watatu. Na kama ushindani ulikuwa mkubwa inakuwaje mtu amepata kuuziwa kiwanja ambacho bado specifications zake zinafanyiwa kazi?

Source: Ubao wa matangazo manispaa ya Temeke

Haya yalitokea Arusha Vijijini mwaka jana mara baada ya kutoa kura zetu. Kwa kifupi ukiacha hayo majina makubwa, wengine watakuwa ni watu wanaofahamiana na watendaji au majina ya madalali. Ukitaka watafute hao madalali watakupa kiwanja
 
Habari za asubuhi wana Jamvi, mimi ni mmoja kati ya watu walio omba kuuziwa viwanja vya mradi wa Gezaulole Kigamboni, nilichukua form nane moja ya kwangu nyingine ya mke wangu na hizi zingine za wadogo wangu ambao ni watu wazima na hawana makazi, niliamini tutapata japo viwanja viwili vitatu. Lakini cha ajabu orodha imebandikwa rasmi kinyemela pale Manispaa ya Temeke ikionyesha watu wanao stahili kuuziwa hivyo viwanja, sisi hatuja bahatika hata kiwanja kimoja. Kwa haraka haraka nimegundua ili kupata hivyo viwanja inabidi uwe na bahati sana au uwe na jina kubwa kama ambavyo yanasomeka pale Temeke. Baadhi ya watu waliobahatika kupata hivyo viwanja ni.

1.Khalfani Kikwete amepata haki ya kuuziwa kiwanja cha ujazo wa chini(Kikubwa)
2.H. Ghasia amepata haki ya kuuziwa kiwanja cha ujazo wa chini(Kikubwa)
3.M. Mwandosya amepata haki ya kuuziwa kiwanja ila hawaja-specify aina ya kiwanja anachotaka.

Hawa ni watu wachache tu kati ya orodha ndefu ambayo kutokana na moyo wangu kuumizwa sana sikuendelea kuisoma.

Inaniuma sana kati ya form nane hakuna mwenye sifa za kuuziwa kiwanja na serikali? kwasababu tuliambiwa kiwanja kimoja tutashindanishwa watu watatu. Na kama ushindani ulikuwa mkubwa inakuwaje mtu amepata kuuziwa kiwanja ambacho bado specifications zake zinafanyiwa kazi?

Source: Ubao wa matangazo manispaa ya Temeke

Kwa vile Tanzania inaongozwa na Utawala wa Sheria, basi nyie mliokosa viwanja mna haki kamili ya kukata Ruffaaa na kujua ni kigezo gani kilitumika katika kugawa viwanja hivyo.

Na msiporidhika na hapo mna haki kamili ya kwenda mahakamani na kusimamisha zoezi lenyewe mpaka suala lenu litakapopatiwa ufumbuzi.

Pole sana ila tumia haki yako kisheria na kikatiba
 
Pumbaaaaa

Hivi wewe ni kichaa?

Even a fool see he/she is wise in his/her face.

mimi sielewi neno pumba linatoka wapi hasa, Au katika mada hii pumba ni nini?

Jaribu kuipa heshima Computer yako! Onyesha angalau Elimu yako ina hadhi ya kujua kuitumia computer yako.

This is so emberrassing for a greater Thinker!!

Kwahiyo mtu anapolalamika kwa udhibitisho kuwa hawa viongozi wetu wanauziana ardhi wao kwa wao ni pumba kwako.

Hatukatai kuwa wao ni raia kama sisi na wana haki ya kuuziwa kama wananchi wengine lakini kuna jinsi ya kuangalia mambo kwa jicho la tatu.

Ndio maana tunaita huu ni uwanja wa great Thinkers, hata kama wewe sio great thinker, jaribu hata kuigiza kama great thinker, Kama hawezi hata hilo hapa sio uwanja wako.
 
Hata mimi yalinikuta mwaka jana hapa kwetu Arusha kuhusiana na vile viwanja vya Burka, majina ya mwanzo yaliopewa kipaumbele japokua na mimi pia nilichukua form kama 5 lakini jina la mwanzo lilikua ni la Riziwani Kikwete! Kweli kifo cha wengi ni harusi!
 
Hivi wewe ni kichaa?

Even a fool see he/she is wise in his/her face.

mimi sielewi neno pumba linatoka wapi hasa, Au katika mada hii pumba ni nini?

Jaribu kuipa heshima Computer yako! Onyesha angalau Elimu yako ina hadhi ya kujua kuitumia computer yako.

This is so emberrassing for a greater Thinker!!

Kwahiyo mtu anapolalamika kwa udhibitisho kuwa hawa viongozi wetu wanauziana ardhi wao kwa wao ni pumba kwako.

Hatukatai kuwa wao ni raia kama sisi na wana haki ya kuuziwa kama wananchi wengine lakini kuna jinsi ya kuangalia mambo kwa jicho la tatu.

Ndio maana tunaita huu ni uwanja wa great Thinkers, hata kama wewe sio great thinker, jaribu hata kuigiza kama great thinker, Kama hawezi hata hilo hapa sio uwanja wako.
Watu kama hao sio wakuwajibu nikuwaacha tu.
 
Pole sana mkuu hii ndio Tanzania nchi yenye amani na tunakaribia kusherekea miaka 50 ya uhuru.
 
Hivi wewe ni kichaa?

Even a fool see he/she is wise in his/her face.

mimi sielewi neno pumba linatoka wapi hasa, Au katika mada hii pumba ni nini?

Jaribu kuipa heshima Computer yako! Onyesha angalau Elimu yako ina hadhi ya kujua kuitumia computer yako.

This is so emberrassing for a greater Thinker!!

Kwahiyo mtu anapolalamika kwa udhibitisho kuwa hawa viongozi wetu wanauziana ardhi wao kwa wao ni pumba kwako.

Hatukatai kuwa wao ni raia kama sisi na wana haki ya kuuziwa kama wananchi wengine lakini kuna jinsi ya kuangalia mambo kwa jicho la tatu.

Ndio maana tunaita huu ni uwanja wa great Thinkers, hata kama wewe sio great thinker, jaribu hata kuigiza kama great thinker, Kama hawezi hata hilo hapa sio uwanja wako.
Na wewe ndio umetumia akili hapo.......acheni ushabiki wa kijinga...hakuna topic zingine zaidi ya kusema watu bila mpango, ooo watoto wa wakubwa mara wanaccm, yote hii ni wivu....
 
mkuu Ezan .... please usikate tamaa

mapori yapo mengi sana nchi hii ..... take your time and get a free land for yourself for the future as your asset

otherwise these hooligans will pump high your blood pressure

relax
 
Back
Top Bottom