Walio na uchungu wa ardhi ya Waarabu wa Palestina, kumbukeni pia DRC watu 6.9m wamefukuzwa kwenye ardhi yao

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,654
48,432
Huku tukiendelea kuandamana na kuwa na uchungu wa mnyang'anyano wa aidhi baina Waarabu na Wayahudi, hebu pia tuweni na kauchungu fulani hivi kwa Waafrika wenzetu karibia milioni 7 hapo DRC wamefukuzwa kutoka kwenye ardhi zao......
=============================

The conflict between M23 rebels and militias loyal to the DRC's government has intensified in the eastern province of North Kivu since early October, particularly north of the provincial capital Goma.

The UN's International Organization for Migration said many people who have fled their homes but stayed within the DRC's borders desperately needed help to meet their basic needs.

"The IOM is intensifying its efforts to address the complex and persistent crisis in the DRC as the number of internally displaced people (IDPs) climbs to 6.9 million people across the country -- the highest number recorded yet," it said in a statement.

"With ongoing conflict and escalating violence, the DRC is facing one of the largest internal displacement and humanitarian crises in the world."

 
Mambo ya Dunia kuelewa ni vigumu mnoo,, mara corona, mara Ukraine, mara Gaza duuu ni hatari
Na huku kwetu wakaitwa ikulu kushuhudia mambo ya Dp world na sasa hivi Makonda
 
Huku tukiendelea kuandamana na kuwa na uchungu wa mnyang'anyano wa aidhi baina Waarabu na Wayahudi, hebu pia tuweni na kauchungu fulani hivi kwa Waafrika wenzetu karibia milioni 7 hapo DRC wamefukuzwa kutoka kwenye ardhi zao......
Hao wanaopiga kelele sana kuhusu Palestina ni wanafiki, waongo na matapeli wenye udini tu.
Huwezi kuwasikia wakitetea Waafrika wenzao wanaoteseka kwa mapigano huko DRC, Msumbiji, Sudan, nk!
 
Hao wanaokuwa busy na masaibu ya waarabu ni wale wapagazi wao ambao hata leo hao waarabu wakirudi kutaka watumwa watajitokeza fasta wauzwe kwa bei poa kwa sababu hata majina wamechukua ya waarabu na hawataki kabisa majina yao ya kiafrika.

Duniani waafrika ndio watu wenye IQ ndogo sana na moja ya ushahidi ndio huo hapo juu. Nigger bure kabisa.
 
Huku tukiendelea kuandamana na kuwa na uchungu wa mnyang'anyano wa aidhi baina Waarabu na Wayahudi, hebu pia tuweni na kauchungu fulani hivi kwa Waafrika wenzetu karibia milioni 7 hapo DRC wamefukuzwa kutoka kwenye ardhi zao......
=============================

The conflict between M23 rebels and militias loyal to the DRC's government has intensified in the eastern province of North Kivu since early October, particularly north of the provincial capital Goma.

The UN's International Organization for Migration said many people who have fled their homes but stayed within the DRC's borders desperately needed help to meet their basic needs.

"The IOM is intensifying its efforts to address the complex and persistent crisis in the DRC as the number of internally displaced people (IDPs) climbs to 6.9 million people across the country -- the highest number recorded yet," it said in a statement.

"With ongoing conflict and escalating violence, the DRC is facing one of the largest internal displacement and humanitarian crises in the world."
Kumbe ukitulia huwa unaandika kwa akili. Hili unalolisema ni kweli, wakati mwingine inanishangaza viongozi wa Africa wako busy na mambo ya Ukraine na Palestine wamesahau kabisa hapo DRC
 
Huku tukiendelea kuandamana na kuwa na uchungu wa mnyang'anyano wa aidhi baina Waarabu na Wayahudi, hebu pia tuweni na kauchungu fulani hivi kwa Waafrika wenzetu karibia milioni 7 hapo DRC wamefukuzwa kutoka kwenye ardhi zao......
=============================

The conflict between M23 rebels and militias loyal to the DRC's government has intensified in the eastern province of North Kivu since early October, particularly north of the provincial capital Goma.

The UN's International Organization for Migration said many people who have fled their homes but stayed within the DRC's borders desperately needed help to meet their basic needs.

"The IOM is intensifying its efforts to address the complex and persistent crisis in the DRC as the number of internally displaced people (IDPs) climbs to 6.9 million people across the country -- the highest number recorded yet," it said in a statement.

"With ongoing conflict and escalating violence, the DRC is facing one of the largest internal displacement and humanitarian crises in the world."
Leo ijumaa waislamu wa kariakoo wanamatembezi ya hiyari from jangwani (mwendokasi stand) to mnazi mmoja ground..

Matembezi ya kulaani kile kinachobfanywa na waisrael dhidi ya Palestine people's
 
Back
Top Bottom