Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,944
- 1,431
well hii barua sawa lakini naitilia shaka kwa upande fulani, itakuwaje iandikwe wazi namna hiyo wakati inajulikana ni siri kubwa? sitaki kuamini kuwa tunao viongozi bogus namna hii hata kutenda kosa wanakosea tena!
Kwanza hao walio mix matokeo na wewe tutasemaje??ina maana hawana akili vizuri??Na wenyewe ni ma bogus pamoja na huyo aliyeandika mhii barua..unajuwa mkuu mambo yakizidi kuwa mengi lazima uchanganyikiwa na ndio hivyo ilivyokuwa!!