Walimu wenye likizo ya Disemba 2023 Igunga dDC hawajalipwa nauli zao ingawa serikali imeshatoa fedha muda mrefu.
Afisa Elimu amezikalia huku walimu wakihangaika nauli za likizo. Ukiwasikiliza wanasiasa wanavyojinasibu kuchukizwa na mateso ya walimu unaweza kudhani wako serious kumbe kwa ground vitu tofauti kabisa
Afisa Elimu amezikalia huku walimu wakihangaika nauli za likizo. Ukiwasikiliza wanasiasa wanavyojinasibu kuchukizwa na mateso ya walimu unaweza kudhani wako serious kumbe kwa ground vitu tofauti kabisa