<br />
<br />
Wanasheria ndio kabisaa.unaweza ukafungua hata mahakama au chember court hapo nyumbani. Ni wajuaji sana kila kitu wanataka kiende kisheria sheria,ikiwezekana unapoongea uwe unafanya na citation kabisa.
acha kukariri wewe!tatizo lenu mnapenda kupata watu wa kuwaburuza