Mess
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 661
- 181
Jamani mgomo baridi unaoendelea wa walimu impact zake kila mmoja ameziona kwenye elimu ya Tanzania kwa sasa baada ya serikali kutumia mabavu. Swali langu kama madaktari wataamua kurudi kazini na kuanzisha mgomo baridi matokeo yake yatakuwa nini?
My opinion: tuungane na madaktari ili wakirudi suluhu ya kweli iwe imepatikana watanzania wenzangu.
My opinion: tuungane na madaktari ili wakirudi suluhu ya kweli iwe imepatikana watanzania wenzangu.