Walimu walipipigwa mkwala wakanywea,.....Inaniuma sana

BUMIJA

JF-Expert Member
Oct 19, 2011
5,818
11,001
Ni majuzi tu walimu nchi nzima waligoma kwa madai ya msingi......Simaanishi kua naupenda mgomo,.....Bali kilio changu ni kua ilipobainika kua mgomo ni batili,hatua gani ambazo chama cha walimu wamechukua?Nasema kua CWT ifutwe mana wanakula pesa kazi no
 
Back
Top Bottom