Sema Chilo
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 324
- 24
Why?. Mwalimu wakati anasaini fomu za mkataba wake wa kazi hakuusoma vizuri kuhusu malipo na malupulupu yake?. Kwanini leo agome?. Kama hawezi kufanya hiyo kazi ache mara moja hakuna sababu ya kuumizana vichwa.
Jaribu kuandika kitu ambacho kina maana kwa jamii sio kukurupuka tu husisha pia ubongo wako