Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Serikali imeamua kwenda mahakamani kuzuia mgomo wa walimu na kutolewa amri ya kutogoma na mgomo kuwa hauna uhalali na wakigomo hatua ya kinidhamu itachukuliwa dhidi yao.
Concern
Mahakama ishakuwa kichaka cha serikali na imewekwa mfukoni.
Concern
Mahakama ishakuwa kichaka cha serikali na imewekwa mfukoni.