huyo kwawambwa alisoma wapi jamani duh,jamaa kilaza hawezi hata kujieleza.kila nkimwona huwa nawahurumia wanafunzi,maana mkuu wa wizara kilaza mikakati ya kuinua elimu itakuwa ya ukilaza kilaza tu.walimu waendelea kuhamasisha wanafunzi kujitokeza kwenye mgomo kesho dar kuwaka moto wanafunzi wataziba njia zote.
Mobilization yaendelea wakati huo huo serikali yaonya kupitia mh shukuru kawamba
kaazi imeanza