chollodehutch
Senior Member
- Jun 29, 2016
- 159
- 192
Mi sioni km kunaa tatzo kwa wanaum kukuna naz ninachojua hili ni jukwaa la mapishi Na sote tunajfunza ila weng wet humu tunajua kupka Na wengne tuna idea ya kupka sasaa kwaa nn kukuna Nazi iwe haifaii kwaa wanaume? Wakat tayr tunaweza kupkaa mpishii hachaguii pishii...Na ni ushamba mwanaum kutojua kukuna naz au utakua mpishi uchwalaaa