Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Uswahilini kuna imani imeenea sana kuwa wenye ulemavu wowote, wake kwa waume ni tiba ya virusi vya ukimwi.
Kama wewe umeathirika ukitembea na mlemavu unapona maradhi yako.
Jamani hii ni imani potofu, j.f tusaidie kuwaeleza jamii yetu kuwa wabadilike kutoka kwenye fikra za namna hii
Kama wewe umeathirika ukitembea na mlemavu unapona maradhi yako.
Jamani hii ni imani potofu, j.f tusaidie kuwaeleza jamii yetu kuwa wabadilike kutoka kwenye fikra za namna hii