Walemavu wageuka lulu mitaani.

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Feb 18, 2010
4,066
4,085
Uswahilini kuna imani imeenea sana kuwa wenye ulemavu wowote, wake kwa waume ni tiba ya virusi vya ukimwi.
Kama wewe umeathirika ukitembea na mlemavu unapona maradhi yako.
Jamani hii ni imani potofu, j.f tusaidie kuwaeleza jamii yetu kuwa wabadilike kutoka kwenye fikra za namna hii
 
Uswahilini kuna imani imeenea sana kuwa wenye ulemavu wowote, wake kwa waume ni tiba ya virusi vya ukimwi.
Kama wewe umeathirika ukitembea na mlemavu unapona maradhi yako.
Jamani hii ni imani potofu, j.f tusaidie kuwaeleza jamii yetu kuwa wabadilike kutoka kwenye fikra za namna hii

Hakuna kitu kama hicho
 
mi nlisha wahi kusikia tangazo kwenye redio nkadhani ni tangazo tu, kumbe haya mambo yapo?
waanzilishi wa imani hizi lazima watakuwa ni waganga wa kienyeji.
kweli taifa letu linaangamia kwa kukosa maarifa
 
Huu ndo ujinga tunaokuwa nao, kwani walemavu hawana damu? Imani nyingine ni kuwaacha tu wajinga waendelee wakiondoka watabaki welevu tu!
 
Back
Top Bottom