Wale wenye ndoa zenu ila mpo "single......"

Kuna mmoja alinambia " wewe unaolewa lini? Tafuta hata mwanaume uzae nae, huna mtoto huna mme upo tu, uoni shida kulala mwenyewe ? Au uende kwa mganga ukaogeshwe una gundu?.

Nikamjibu: nikiolewa wewe utafaidika nini? Ntaolewa nikitaka mimi siolewi kwa fashion oleweni nitakuwa wa mwisho.

Kuhusu mtoto nyie mkizaa inatosha.

Kuhusu kwa mganga kuogeshwa nikamwambia sitokaa nikanyage huko, hiyo hela si bora nimtumie mama ale? Kwa mganga na hizo chale nani anikate mwili wangu na viwembe?

Kwani wanaume wamekosa kiasi hicho? Mbona wapo tu wengi?

Haya yote alinambia baada ya yeye kumpeleka mme wake kwao kwaajili ya kuvalishwaa pete. Pete yenyewe alinunua mwenyewe😂😂😂 ila wanawake tunapenda kiboya sana. Baada ya pete mimba kwa sasa wana mtoto.

Baada ya mwaka mara mme wake kafumaniwa na mke wa mtu, mara police, mara mke alofumaniwa nae kakutwa amekufa, kesi kibao.maisha yamebadilika.

Mara nikopeshe hela, nilivyo na roho ya kipumbavu nikampa,ina miezi 3 hajarudisha sasa hivi hatuongei hapokei simu, nasikia kashauza hadi tv.

Dear wenye ndoa zenu, muolewe kimya kimya sio kutunanga, sisi tutaolewa tukitaka, tangulieni tutawafata.sio kwamba hatutaki ila wakati wa mungu haujafika.

Nb.ndoa iheshimiwe na kila mmoja.
 
Kwa wanawake wote ambao mmeolewa.....

Mko kwenye ndoa zenu.......

Na mashati yenu ya vitenge sare sare na waume zenu.............

Salamu kwenu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Nyie mlio kwenye ndoa zenu....lakini bado mpo ingle....

Yaani single but married (wenye viinglish vyenu pia mnywe maji mengi tu mtulie)

Mkisaidiana na wale ambao wapo lonely but married

Mjipige kifua mara tatu...... mfanye maamuzi na mapinduzi ya mwaka 2022.

Wale ambao hamna wa kuzungumza nae wala kucheka nae....ingawa mliosaini nao vyeti mnalala nao kitanda kimoja ..... jipepeeni tu

Wale ambao ndio mastriker.....mnalisha familia nyinyi.....mnalea watoto nyinyi...ila mnakumbatia mito wakati wapenzi wenu wakiwa busy kuchat na wapenzi wao (hahahahahahahahah) vuteni shuka mbu wasiwangate, wale ambao waume zenu 99% ya kipato chao wanahudumia wapenzi wao huko mitaani kunyeweni maji mengi kushusha uchungu........ na wale ambao wapenzi wenu hawarudi kabisa (au wamesafiri na wapenzi wao holiday) huo muda wa kulala usiku bora mkalinde sungusungu

Yaani kiufupi...........

Hebu mjitafakari kwa nini mko na hao wenza wenu.........................

Mchukue hatua ili muachane na upweke

Single wote mlio kwenye ndoa zenu............habari zenu tena.

Na nyie Married but Available(MBA) tutaonana mwakani, labda kutakuwa na ujumbe wa pasaka kwenu!!!!

Heri ya mwaka mpya kwenu wote!!!

Nb
kuna wanaume mbingu mtaisikia tu!!!
 
Umeandika kimzahamzaha lakini unamaanisha na ina maana kubwa sana

Ushauri murua "Mjipige kifua mara tatu...... mfanye maamuzi na mapinduzi ya mwaka 2022."

Uwe na mwaka mpya wenye baraka na mafanikio tele
Asante, heri ya mwaka mpya!!
 
Siku hizi wanawake tunafocus kwenye kujipa furaha yetu sisi wenyewe, tofauti na zamani. Tunajitoa out, tunajipeleka shopping... whatever makes us happy.

We don't stay up late wondering where your sorry ass is.

We stay up late working on our side hustles building up empires on our own.

Na hapo ndo mnarudi kuja kulia lia humu kwamba tumekuwa wajeuri tukishapata hela.

Kumbe kule tu kuwapotezea visa vyenu kunatosha tu.

Nyie ndo wa kujitathmini 2022. Because we are not quitting on ourselves anytime soon.
ila kiroho kinauma...

kampani ya wanawake wenzio ni tofauti na kampani ya mpenzi/mwenza/mumeo....

attention ya wanawake wenzio ni tofauti na ile anayokupa mwenza wako.........

hizo empire angalau watoto watafaidi ila kuna raha yake mwenza wako akiappriciate

kiufupi mahaba yana raha yake aisee...........

na sio kukaza roho na kutafuta kitu kingine cha kujifurahishia kwa kuwa "mwenzako" yupo busy na "mwenzake"
 
Siku hizi wanawake tunafocus kwenye kujipa furaha yetu sisi wenyewe, tofauti na zamani. Tunajitoa out, tunajipeleka shopping... whatever makes us happy.

We don't stay up late wondering where your sorry ass is.

We stay up late working on our side hustles building up empires on our own.

Na hapo ndo mnarudi kuja kulia lia humu kwamba tumekuwa wajeuri tukishapata hela.

Kumbe kule tu kuwapotezea visa vyenu kunatosha tu.

Nyie ndo wa kujitathmini 2022. Because we are not quitting on ourselves anytime soon.
You don't find love by taking your self out, going for shopping or by building an empire. They are not even close to being a substitute.

I think wee need to fix and repair our broken ways. And for the broken fellas that can't be fixed, replace them.

An empire without love, is an empire of chaos. Even shopping ain't fun, if your partner is a pain in the ass. And after taking yourself out, you'll have to come back home, where your broken fella awaits.

You can't build a family where everyone seeks refuge out there on their own. We need families built on a firm foundation of LOVE. A family where you know your partner and other family members got your back.

So here is my two cents, fix your broken nigga, or replace him. Self love is a myth!
 
Uzi ungeleta maana nzuri iwapo hao wanandoa wangewashauriwa wamalize mwaka kwa kupatana au kuachana kabisa.

Ila naona mtoa mada umeishia kuwazodoa tu hivyo hakuna cha kujifunza kwa sisi tunaotamani kuja kuoa
 
You don't find love by taking your self out, going for shopping or by building an empire. They are not even close to being a substitute.

I think wee need to fix and repair our broken ways. And for the broken fellas that can't be fixed, replace them.

An empire without love, is an empire of chaos. Even shopping ain't fun, if your partner is a pain in the ass. And after taking yourself out, you'll have to come back home, where your broken fella awaits.

You can't build a family where everyone seeks refuge out there on their own. We need families built on a firm foundation of LOVE. A family where you know your partner and other family members got your back.

So here is my two cents, fix your broken nigga, or replace him. Self love is a myth!
Wow... you're indeed a smart ghost

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mmoja alinambia " wewe unaolewa lini? Tafuta hata mwanaume uzae nae, huna mtoto huna mme upo tu, uoni shida kulala mwenyewe ? Au uende kwa mganga ukaogeshwe una gundu?.

Nikamjibu: nikiolewa wewe utafaidika nini? Ntaolewa nikitaka mimi siolewi kwa fashion oleweni nitakuwa wa mwisho.

Kuhusu mtoto nyie mkizaa inatosha.

Kuhusu kwa mganga kuogeshwa nikamwambia sitokaa nikanyage huko, hiyo hela si bora nimtumie mama ale? Kwa mganga na hizo chale nani anikate mwili wangu na viwembe?

Kwani wanaume wamekosa kiasi hicho? Mbona wapo tu wengi?

Haya yote alinambia baada ya yeye kumpeleka mme wake kwao kwaajili ya kuvalishwaa pete. Pete yenyewe alinunua mwenyewe ila wanawake tunapenda kiboya sana. Baada ya pete mimba kwa sasa wana mtoto.

Baada ya mwaka mara mme wake kafumaniwa na mke wa mtu, mara police, mara mke alofumaniwa nae kakutwa amekufa, kesi kibao.maisha yamebadilika.

Mara nikopeshe hela, nilivyo na roho ya kipumbavu nikampa,ina miezi 3 hajarudisha sasa hivi hatuongei hapokei simu, nasikia kashauza hadi tv.

Dear wenye ndoa zenu, muolewe kimya kimya sio kutunanga, sisi tutaolewa tukitaka, tangulieni tutawafata.sio kwamba hatutaki ila wakati wa mungu haujafika.

Nb.ndoa iheshimiwe na kila mmoja.
Chukua Pepsi kwa muha hapo ujilipie mwenyewe

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom