Wanawake, mko nyuma ya keyboard.
Tuambieni sisi waume zenu tujue, msituonee aibu. Tuchaneni kisawasawa, nini haswa kinawafanya mnachepuka nyie mlioolewa ama mlio kwenye mahusiano yanayotarajiwa kuzaa ndoa? Ama wale mnaokuwa na wapenzi wengi kwa wakati mmoja, nini huwa chanzo?
Wanaume, Leo vungeni tusikilizie tunavyochanwa live na hawa wake/ watarijiwa wetu. Chukueni kabisa notebook ✍✍
Wadada uwanja wenu huu.
Fungukeni
Tuambieni sisi waume zenu tujue, msituonee aibu. Tuchaneni kisawasawa, nini haswa kinawafanya mnachepuka nyie mlioolewa ama mlio kwenye mahusiano yanayotarajiwa kuzaa ndoa? Ama wale mnaokuwa na wapenzi wengi kwa wakati mmoja, nini huwa chanzo?
Wanaume, Leo vungeni tusikilizie tunavyochanwa live na hawa wake/ watarijiwa wetu. Chukueni kabisa notebook ✍✍
Wadada uwanja wenu huu.
Fungukeni