Hivo vitoto vilisha kua siku nyingi
NATA alidai kuwa hao mabinti ni watoto, lakini mi nakataa katakata kuwa kwa binti kama hao wenye umri usiopungua miaka 16 ni watu wazima kabisa japo hawajatimiza miaka 18, naamini kuwa hawakumfuata huyo jamaa bali walikwenda kwa ajili ya mambo yao binafsi.Wale madent wawili waliotelekezwa nyumba ya kulala wageni wametoroka baada ya kuaga wanaenda kula kisha kutokomea jumla!!!!
kama movie, mara shule, mara likizo, mara wameroka kutoka arusha kwenda dar, mara jamaa alikuwa rafiki walieenda kumpa hi, mara wanadai alikuwa baba mdogo, mara anawataka tena wakamnyima, akawatelekeza, kupika pamoja na wahudumu, wanaomba nauli ya kurudi arusha tena wametoroka, mhhh!!! Hahahahahahahaha!!yaani hio story kama wanaigiza fulani hivi... hata hivyo wanajua what they are doing...