Vp kuhusu ada km ukipata asilimia 100 katka engineering ww unalipia sh. ngapisiwez kusema ni kibaya...maana tunafundishwa...japo mwaka wa kwanza ukiingia wote utasoma kitu kinachoitwa general engineering...then mwaka wa pili ndo utaanza kusoma ulichokichagua..
Vp kuhusu ada km ukipata asilimia 100 katka engineering ww unalipia sh. ngapi
Xo ile 2700000 n ya zamani? And why wanakuwa hawa update information zaoada kwa engineering ni 3,030,400 ukipata mkopo asilimia mia ni kma umelipiwa 1,500,000 kwahyo inayobak hapo unalipa mwenyew....n.b mitihan tunayofanya hulipiwa na ni nje ya ada
Xo ile 2700000 n ya zamani? And why wanakuwa hawa update information zao