Tanzania Nchi Yetu Sote
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 505
- 854
WALE MLIOOMBA KAZI YA SENSA YA WATU NA MAKAZI NAAMINI WOTE MLISOMA KITABU CHA
NGOSWE "Penzi kitovu cha uzembe" TUNAKUMBUSHANA. HATA MIMI NIMEOMBAπππ
ππ½ππ½ππ½ππ½ππ½
MITOMINGI; nadhani sasa mgeni amekwisha kumaliza kula hebu nenda kaondoe vyombo
MAMA_MAZOEA; Basi fanya haraka (Mazoea anatoka, anaenda kwa Ngoswe alipo).
MAZOEA; Hodi! Hodi!
NGOSWE; Karibu
MAZOEA; (Akiingia). Ahsante. Nimekuja kuchukua vyombo.
NGOSWE; Vyombo! Kaa basi mbona unasimama kama vile hakuna viti.
MAZOEA; Nimeambiwa nifanye haraka.
NGOSWE; Mmm! Haya ngoja ninawe basi (Ngoswe ananawa kwa taratibu jicho likiwa usoni mwa Mazoea ambaye anatazama kando). Hivo mzima wee?
MAZOEA; Bee?
NGOSWE; Salama?
MAZOEA; Salama tu.
NGOSWE; Sasa ndio umekataa kukaa?
MAZOEA; (Ajidai hakusikia) Si umekwisha maliza?
NGOSWE; Bado kidogo.
MAZOEA; Basi nitakuja chukua baadaye. (Ataka kutoka)
NGOSWE; Basi nenda navyo. (Mazoea anarudi kuinama kuvichukua. (Ngoswe kwa sauti ndogo). Hivyo waitwa nani?
MAZOEA; Mie?
NGOSWE; Ndio wewe hapo kisura.
MAZOEA; (anatabasamu huku akiondoka). Mazoea!i
ππΎππΎππΎππΎππΎππΎππΎ
NGOSWE "Penzi kitovu cha uzembe" TUNAKUMBUSHANA. HATA MIMI NIMEOMBAπππ
ππ½ππ½ππ½ππ½ππ½
MITOMINGI; nadhani sasa mgeni amekwisha kumaliza kula hebu nenda kaondoe vyombo
MAMA_MAZOEA; Basi fanya haraka (Mazoea anatoka, anaenda kwa Ngoswe alipo).
MAZOEA; Hodi! Hodi!
NGOSWE; Karibu
MAZOEA; (Akiingia). Ahsante. Nimekuja kuchukua vyombo.
NGOSWE; Vyombo! Kaa basi mbona unasimama kama vile hakuna viti.
MAZOEA; Nimeambiwa nifanye haraka.
NGOSWE; Mmm! Haya ngoja ninawe basi (Ngoswe ananawa kwa taratibu jicho likiwa usoni mwa Mazoea ambaye anatazama kando). Hivo mzima wee?
MAZOEA; Bee?
NGOSWE; Salama?
MAZOEA; Salama tu.
NGOSWE; Sasa ndio umekataa kukaa?
MAZOEA; (Ajidai hakusikia) Si umekwisha maliza?
NGOSWE; Bado kidogo.
MAZOEA; Basi nitakuja chukua baadaye. (Ataka kutoka)
NGOSWE; Basi nenda navyo. (Mazoea anarudi kuinama kuvichukua. (Ngoswe kwa sauti ndogo). Hivyo waitwa nani?
MAZOEA; Mie?
NGOSWE; Ndio wewe hapo kisura.
MAZOEA; (anatabasamu huku akiondoka). Mazoea!i
Simulizi ni tamu ila tulishaambiwa ya Ngoswe tumuachie Ngoswe
! ! !ππΎππΎππΎππΎππΎππΎππΎ