Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu Dar es Salaam, Dk Benson Bana amesema uteuzi wa wakuu wa wilaya umelenga kuiimarisha CCM kutokana na vijana kupewa nafasi zaidi.
Alisema hizo ni dalili kwamba CCM wameona nguvu kubwa ya upinzani na sasa wameanza kujiimarisha kwa kuwatumia vijana na wakuu hao wa wilaya jambo ambalo ni jema sana kwa CCM.
Wamehofia kuwa wanaweza kwenda Chadema ndio maana wameamua kuwapa nafasi vijana, hiyo ni changamoto ambayo wameifanyia kazi alisema Dk Bana.
Source:Mwananchi Ijumaa
Alisema hizo ni dalili kwamba CCM wameona nguvu kubwa ya upinzani na sasa wameanza kujiimarisha kwa kuwatumia vijana na wakuu hao wa wilaya jambo ambalo ni jema sana kwa CCM.
Wamehofia kuwa wanaweza kwenda Chadema ndio maana wameamua kuwapa nafasi vijana, hiyo ni changamoto ambayo wameifanyia kazi alisema Dk Bana.
Source:Mwananchi Ijumaa