Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,417
- 11,068
Hello hello JF,
Utii na heshima kwa Jamhuri ni pamoja na katika jambo lolote kuambatanisha ujumbe wenye maudhui yaliojaa lugha ya utii, heshima na unyenyekevu mkubwa iwe ni katika kukubali au kukataa jambo lolote.
Uteuzi wa wakuu wa wilaya ufuate utamaduni wa consultations, ama kupandisha vyeo kiuweledi. Msaidizi wa Mkuu wa wilaya ni Katibu tawala wa wilaya. Je, kwanini mamlaka haithamini kupandisha vyeo hao Katibu tawala kuwa wakuu wa wilaya?
Kama vijana wenu wa UVCCM tena wenye degree na masters ni makatibu tawala wilaya na hamna imani nao hadi mnaokoteza okoteza watu hilo si jema, acheni kufedhehesha vijana wenu.
Malezi ya CCM Kwa vijana wake yanadhiri wapi, ok sawa haki kwa wote sawa basi fanyeni consultations na hao watu wakubali au wakatae behind the scene. Watu ambao hawajahumu ukaribu tawala au tarafa wanaogopa ukuu wa wilaya una lawama, fedheha yaani kila kitu.
Wapeni akina kasesela na etc wakatumikie nchi.
Wadiz
Utii na heshima kwa Jamhuri ni pamoja na katika jambo lolote kuambatanisha ujumbe wenye maudhui yaliojaa lugha ya utii, heshima na unyenyekevu mkubwa iwe ni katika kukubali au kukataa jambo lolote.
Uteuzi wa wakuu wa wilaya ufuate utamaduni wa consultations, ama kupandisha vyeo kiuweledi. Msaidizi wa Mkuu wa wilaya ni Katibu tawala wa wilaya. Je, kwanini mamlaka haithamini kupandisha vyeo hao Katibu tawala kuwa wakuu wa wilaya?
Kama vijana wenu wa UVCCM tena wenye degree na masters ni makatibu tawala wilaya na hamna imani nao hadi mnaokoteza okoteza watu hilo si jema, acheni kufedhehesha vijana wenu.
Malezi ya CCM Kwa vijana wake yanadhiri wapi, ok sawa haki kwa wote sawa basi fanyeni consultations na hao watu wakubali au wakatae behind the scene. Watu ambao hawajahumu ukaribu tawala au tarafa wanaogopa ukuu wa wilaya una lawama, fedheha yaani kila kitu.
Wapeni akina kasesela na etc wakatumikie nchi.
Wadiz