kuna tofauti kubwa aina ya wanasiasa vijana waliopo CCM na CDM. Huwezi linganisha vijana wasiokua na vipaji vya uongozi,wanaobebwa na wazazi wao na mfumo mbovu kutoka CCM na vijana wenye vipaji vya uongozi na ushawishi ktk jamii kutoka CDM!Kwani Chadema vijana wote wanaowafuata mnawapa nini zaidi ya matumaini ya uongo. Madc wapya waandalie vijana wenzenu taratibu za kujiajiri wenyewe badala kuwaacha wanzagaa wakisubiri matumaini hewa toka Chadema .
kuna tofauti kubwa aina ya wanasiasa vijana waliopo CCM na CDM. Huwezi linganisha vijana wasiokua na vipaji vya uongozi,wanaobebwa na wazazi wao na mfumo mbovu kutoka CCM na vijana wenye vipaji vya uongozi na ushawishi ktk jamii kutoka CDM!
Hive huyu Bana mbona anadhililisha wasomi wa vyuo vikuu?
Ulitarajia nini kwa Bana zaidi ya kujikomba kwa wakubwa? Ukuu wa wilaya ni mzigo kwa Taifa tunapaswa kuufuta kwenye katiba mpya DAS na Mkurugenzi wanatosha kabisa kwenye uwajibikaji wa kazi za wilaya kila siku.
Hata Das hatakiwi, kwani ana kazi gani? Pia RAS ana kazi gani? kwa ujumla ofisi za mkuu wa mkoa na wilaya hazitakiwi kuwepo.
Sidhani kama huyu dkt. bana ana upeo wa kueleweka. ipo cku...
Kwani Chadema vijana wote wanaowafuata mnawapa nini zaidi ya matumaini ya uongo. Madc wapya waandalie vijana wenzenu taratibu za kujiajiri wenyewe badala kuwaacha wanzagaa wakisubiri matumaini hewa toka Chadema .