Na huyo aliyekuwepo Dr. Sigalla kaenda wapi?novatus makunga wa itv ni mkuu wa wilaya ya hai,
Angalia vizuri unaweza kuona na Maundumula yumo!
ITV ‏ @ITVTANZANIA Rais Kikwete atangaza wakuu wa wilaya wapya 70, yumo mwanhabari wa itv Novatus Makunga#itv habari
Mikoa 25 kila mkoa atleast wilaya 3 = angalau wakuu wa wilaya 70, Rupurupu + Salary * 75 =
Naomba kuuliza majukumu ya hawa wakuu wa wilaya, na je wanapimwa kila muda gani? na je wasipofanikisha nini kinawafikia? je wakifanya vizuri nini wanapewa?
Kwa kifupi napenda kujua kama hii kazi ina performance related bonuses na kama anayeshindwa anaweza kutolewa!
novatus makunga wa itv ni mkuu wa wilaya ya hai,
Hivi sasa yanatangazwa majina ya wakuu wa Wilaya wapya na
wazamani katika kituo cha ITV, baadhi yao wakiwemo Ahmedi Kipozi
Muhingo Rweyemamu, Venance Mwamoto. Hivi ni kweli cheo hiki kina
tija kwenye nchi yetu?...
MaundumlaMikoa 25 kila mkoa atleast wilaya 3 = angalau wakuu wa wilaya 70, Rupurupu + Salary * 75 =
Naomba kuuliza majukumu ya hawa wakuu wa wilaya, na je wanapimwa kila muda gani? na je wasipofanikisha nini kinawafikia? je wakifanya vizuri nini wanapewa?
Kwa kifupi napenda kujua kama hii kazi ina performance related bonuses na kama anayeshindwa anaweza kutolewa!
novatus makunga wa itv ni mkuu wa wilaya ya hai,
Mikoa 25 kila mkoa atleast wilaya 3 = angalau wakuu wa wilaya 70, Rupurupu + Salary * 75 =
Naomba kuuliza majukumu ya hawa wakuu wa wilaya, na je wanapimwa kila muda gani? na je wasipofanikisha nini kinawafikia? je wakifanya vizuri nini wanapewa?
Kwa kifupi napenda kujua kama hii kazi ina performance related bonuses na kama anayeshindwa anaweza kutolewa!