Wakuu wa Wilaya hawa hapa!

Huyu Amani Mwenegoha alifukuzwa na Kanisa (KKKT) kwa sababu ya ufisadi aliokuwa anaufanya kwa nafasi yake ya ukatibu mkuu wa KKKT. Sasa leo anapelekwa kuongoza wilaya ili akaendeleze ufisadi serikalini. Ivi kabla ya kufanya uteuzi kuna uchunguzi wowote unafanyika kujua background ya hawa watu? Au ndio ishu ya kujuana?

Wanasubiri aibe iundwe tume!
Chezea tanzania wewe..........
 
Thanq 4 updates!



Mods, kama kuna mtu atakuwa alishaweka mnaweza kuiondoa hii

MAJINA YA WAKUU WA WILAYA WAPYA 70 NA
VITUO VYAO VYA KAZI
NA.

KITUO CHA KAZI
1.
Novatus Makunga
Hai
2.
Mboni M. Mgaza
Mkinga
3.
Hanifa M. Selungu
Sikonge
4.
Christine S. Mndeme
Hanang
5.
Shaibu I. Ndemanga
Mwanga
6.
Chrispin T. Meela
Rungwe
7.
Dr. Nasoro Ali Hamidi
Lindi
8.
Farida S. Mgomi
Masasi
9.
Jeremba D. Munasa
Arumeru
10.
Majid Hemed Mwanga
Lushoto
11
Mrisho Gambo
Korogwe
12.
Elias C. J. Tarimo
Kilosa
13.
Alfred E. Msovella
Kiteto
14.
Dkt. Leticia M. Warioba
Iringa
15.
Dkt. Michael Yunia Kadeghe
Mbozi
16.
Mrs. Karen Yunus
Sengerema
17.
Hassan E. Masala
Kilombero
18.
Bituni A. Msangi
Nzega
19.
Ephraem Mfingi Mmbaga
Liwale
20.
Antony J. Mtaka
Mvomero
21.
Herman Clement Kapufi
Same
22.
Magareth Esther Malenga
Kyela
23.
Chande Bakari Nalicho
Tunduru
24.
Fatuma H. Toufiq
Manyoni
25.
Seleman Liwowa
Kilindi
26.
Josephine R. Matiro
Makete
27.
Gerald J. Guninita
Kilolo
28.
Senyi S. Ngaga
Mbinga
29.
Mary Tesha
Ukerewe
30.
Rodrick Mpogolo
Chato
31.
Christopher Magala
Newala
32.
Paza T. Mwamlima
Mpanda
33.
Richard Mbeho
Biharamulo
34.
Jacqueline Liana
Magu
35.
Joshua Mirumbe
Bunda
36.
Constantine J. Kanyasu
Ngara
37.
Yahya E. Nawanda
Iramba
38.
Ulega H. Abadallah
Kilwa
39.
Paul Mzindakaya
Busega (mpya)
40.
Festo Kiswaga
Nanyumbu
41.
Wilman Kapenjama Ndile
Mtwara
42.
Joseph Joseph Mkirikiti
Songea
43.
Ponsiano Nyami
Tandahimba
44.
Elibariki Immanuel Kingu
Kisarawe
45.
Suleiman O. Kumchaya
Tabora
46.
Dkt. Charles O. F. Mlingwa
Siha
47.
Manju Msambya
Ikungi (mpya)
48.
Omar S. Kwaangw’
Kondoa
49.
Venance M. Mwamoto
Kibondo
50.
Benson Mpesya
Kahama
51.
Daudi Felix Ntibenda
Karatu
52.
Ramadhani A. Maneno
Kigoma
53.
Sauda S. Mtondoo
Rufiji
54.
Gulamhusein Kifu
Mbarali
55.
Esterina Kilasi
Wanging’ombe (mpya)
56.
Subira Mgalu
Muheza
57.
Martha Umbula
Kongwa
58.
Rosemary Kirigini
Meatu
59.
Agness Hokororo
Ruangwa
60.
Regina Chonjo
Nachingwea
61.
Ahmed R. Kipozi
Bagamoyo
62.
Wilson Elisha Nkhambaku
Kishapu
63.
Amani K. Mwenegoha
Bukombe
64.
Hafsa M. Mtasiwa
Pangani
65.
Rosemary Staki Senyamule
Ileje
66.
Selemani Mzee Selemani
Kwimba
67.
Lt. Col. Ngemela E. Lubinga
Mlele (mpya)
68.
Iddi Kimanta
Nkasi
69.
Muhingo Rweyemamu
Handeni
70.
Lucy Mayenga
Uyui

MAJINA 63 WAKUU WA WILAYA WA ZAMANI NA
VITUO VYAO VYA KAZI

NA.
JINA
KITUO CHA KAZI
1.
James K. O. Millya
Longido
2.
Mathew S. Sedoyeka
Sumbawanga
3.
Fatuma L. Kimario
Igunga
4.
Capt. (Mst.) James C. Yamungu
Serengeti
5.
Lt. (Mst.) Abdallah A. Kihato
Maswa
6.
Sarah Dumba
Njombe
7.
Jowika W. Kasunga
Monduli
8.
Elizabeth C. Mkwasa
Bahi
9.
Col. Issa E. Njiku
Misenyi
10.
John B. Henjewele
Tarime
11.
Elias W. Lali
Ngorongoro
12.
Raymond H. Mushi
Ilala
13.
Francis Miti
Ulanga
14.
Evarista N. Kalalu
Mufindi
15.
Mariam S. Lugaila
Misungwi
16.
Anna J. Magowa
Urambo
17.
Anatory K. Choya
Mbulu
18.
Fatma Salum Ally
Chamwino
19.
Deodatus L. Kinawiro
Chunya
20.
Ibrahim W. Marwa
Nyang’hwale (mpya)
21.
Dkt. Norman A. Sigalla
Mbeya
22.
Moshi M. Chang’a
Mkalama (mpya)
23.
Jordan M. Rugimbana
Kinondoni
24.
Georgina E. Bundala
Itilima (mpya)
25.
Halima M. Kihemba
Kibaha
26.
Manzie O. Mangochie
Geita
27.
Abdula S. Lutavi
Namtumbo
28.
Zipporah L. Pangani
Bukoba
29.
Dkt. Ibrahim H. Msengi
Moshi
30.
Col. Cosmas Kayombo
Kakonko (mpya)
31.
Lembris M. Kipuyo
Muleba
32.
Elinasi A. Pallangyo
Rombo
33.
Queen M. Mlozi
Singida
34.
Juma S. Madaha
Ludewa
35.
Angelina Mabula
Butiama (mpya)
36.
Hadija H. Nyembo
Uvinza (mpya)
37.
Ernest N. Kahindi
Nyasa (mpy
 
Chrispin T. Meela Rungwe - huyu jamaa alishindwa ubunge na Dr. Augustine Lyatonga Mrema jimbo la Vunjo ... dah amakweli hii niserikali ya kulipana fadhila
 
Sijamuona Betty jamani!!amelipa fadhila big time du!!haya itafika muda hizi nafasi za fadhila zitapitwa na wakati!!
 
Majina mengi kama matokeo ya Mtihani wa Form SIX, wengi majina tunayo yajua...kama Karamagi...Mzindakaya..na wana habari kama Kipozi nk...
 
Wana JF

Baada ya kupitia Majina ya Ma DC Nimeona Mkono Wa Ridhwani kuwapa Ulaji maswahiba wake ndani ya Genge la UVCCM

1)Paul Mzindakaya(Mkiti Uvccm Rukwa
2)Hassana E Masala(Mkiti Uvccm Lindi)
3)Ulega ( Mkiti Uvccm Mkoa Pwani)
4) Mrisho GAMBO
5)Anthony Mtaka (Huyu hata Mzumbe hajamaliza)

Vijana Hawa inasadikika ni Vijana Wa Rdhwani ndani ya Uvccm na Inasemekana walishatambu UDC wao miezi Sita ilopita
Baada ya Uteuzi huu nimejiridhisha Nguvu ya huyu KIJANA ndani utawala Wa Baba Yake
 
Venance Mwamoto mmbuge wazamani wa kilolo bounce back.
 
Dah! Hapo VX kama 133 hivi ni lazima ziwepo (Simaanishi zinunuliwe jamani).
I'm thinking about maintenance costs!
Kama ulikuwa rafiki na president na mpaka sasa hujawahi kuwa na kitengo chochote na ungependa uchaguliwe, jihesabu kuwa huna bahati!
 
Back
Top Bottom