kiatu kipya
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 3,269
- 1,976
Kipilimba ni mlokole ila Sirro alishindwa maisha ya useja kitambo kama Mh alivyolipishwa dirisha la Katoke seminarKwani wote dini /dhehebu moja?
Kipilimba ni mlokole ila Sirro alishindwa maisha ya useja kitambo kama Mh alivyolipishwa dirisha la Katoke seminarKwani wote dini /dhehebu moja?
We jamaa una kumbukumbu kali sanaNaomba wakati wa kupokea ekaristi nitajie ni nani kati ya viongozi hao atapokea. Nakumbuka wakati wa kumzika Askofu Mayala wa kwanz akupokea Ekaristi alikuwa Benjamin Mkapa, akifuatiwa na Andrew Chenge.
Kusimikwa kwa askofu si jambo dogo,ata masheih wanaalikwa kuudhuliakwahiyo wote ni wakatoliki
Wakivaa magwanda ndo wanakua wakuu wa ulinzi na usalama sio?Mkuu wamekwenda na magwanda yao?
Kusimkwa kwa askofu tatizo m nadhani ni swala dogo,jaribu kupitia zama za kikwete alivyokua anaudhulia kwenye kusimikwa maaskofu ,na ujaribu kuangalia waliokua wanaalikwaSio kweli kwamba wote ni wakatoliki.
.Kwa mfano Juma Malewa ni muislam kanisani anafata nini?
Bora akina Mabeyo na Sirro wanaweza kusingizia kwamba wanasali
Wakivaa magwanda ndo wanakua wakuu wa ulinzi na usalama sio?
Inamaana siku ukiomuona Sirro kavaa kiraia utakataa kwamba sio yeye?
Hapa tunazungumzia mamlaka yao na tukio wanalohudhuria, kuna mahusiano gani? Mbona hatukuwahi kuona tukio la namna hii huko nyuma?
Mkuu mimea ina uhai; je nayo ina macho?Kuna mengi bado huyajui... Kivuli kina uhai na chenye uhai hakikosi macho
Kwan wao hawaruhusiw kwenda Kansan? Wameenda kama waumin wengneWakuu wote wa vyombo vya ulinzi na usalama nchini yaani Mkuu wa Majeshi, IGP na Mkurugenzi mkuu wa Idara ya usalama wa Taifa na Magereza kushiriki kusimikwa kwa Askofu mpya Massawe wa kanisa katoliki Jimbo la Arusha ni sawa sawa au kwasababu wako na msafara wa Mh Rais huko Arusha.
Sijawahi kuliona hili katika kuwasimika maaskofu hapa nchini kwa kuhusisha wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama. Labda kama kuna reference ambayo siijui.
Majeshi yetu hayana dini.
yapo mengi ambayo huyu bwana mkubwa anakosea watu wanasema wanaambiwa nyumbiz ati wanapinga kila kitu! ukweli ni kwamba raisi anapenda kuabudiwa na kutisha watu wakeWakuu wote wa vyombo vya ulinzi na usalama nchini yaani Mkuu wa Majeshi, IGP na Mkurugenzi mkuu wa Idara ya usalama wa Taifa na Magereza kushiriki kusimikwa kwa Askofu mpya Massawe wa kanisa katoliki Jimbo la Arusha ni sawa sawa au kwasababu wako na msafara wa Mh Rais huko Arusha.
Sijawahi kuliona hili katika kuwasimika maaskofu hapa nchini kwa kuhusisha wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama. Labda kama kuna reference ambayo siijui.
Majeshi yetu hayana dini.
Utakuta wamerazimisha kuudhuriaWakuu wote wa vyombo vya ulinzi na usalama nchini yaani Mkuu wa Majeshi, IGP na Mkurugenzi mkuu wa Idara ya usalama wa Taifa na Magereza kushiriki kusimikwa kwa Askofu mpya Massawe wa kanisa katoliki Jimbo la Arusha ni sawa sawa au kwasababu wako na msafara wa Mh Rais huko Arusha.
Sijawahi kuliona hili katika kuwasimika maaskofu hapa nchini kwa kuhusisha wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama. Labda kama kuna reference ambayo siijui.
Majeshi yetu hayana dini.